matumbo
JF-Expert Member
- Jul 9, 2011
- 7,224
- 3,960
Mzee Mtei anazingua..yeye kama mzee na mmoja ya waasisi wa chama hapaswi kuchagua upande,anakichafua chama kinaonekana cha kikanda..yeye sio mtu wa kukimbilia media kumkanya Zitto,watumie taratibu za kichama kumrekebisha Zuberi..
Pia wanachadema muwe mnamshauri uyu mzee na matamko yake yanayokichafua chama,sio kila jambo mnamshangilia.
Pia wanachadema muwe mnamshauri uyu mzee na matamko yake yanayokichafua chama,sio kila jambo mnamshangilia.