Leo hii watu wengi hutumia muda mwingi kwenye Internet iwe kwa smartphone, TV, games, Laptop, n.k. hasa kwa ajili ya burudani kama kuangalia videos za muziki, highlights za mpira, kucheza games, au kuperuzi mitandao ya kijamii.
Je unapokosa internet, siku yako inaendelea kawaida au unahisi kama kuna kitu kinakosekana na kukuathiri kisaikolojia ?
Kwa baadhi ya watu, kukosa internet au smartphone kunaweza kuwafanya wajisikie bored au hata kukosa kitu cha kufanya.
Je unapokosa internet, siku yako inaendelea kawaida au unahisi kama kuna kitu kinakosekana na kukuathiri kisaikolojia ?
Kwa baadhi ya watu, kukosa internet au smartphone kunaweza kuwafanya wajisikie bored au hata kukosa kitu cha kufanya.