1. Huyu jean marie ni nani au unamuadress jean marie runiga? LOL. Natumaini unanilenga mimi
jMali. kama ni hivyo tuendelee. kama sivyo potezea.
2. Mi sio mnyarwanda, mimi mtanzania pure. tatizo la hawa wenzetu ukipingana nao huwa wanakosa hoja wanaishia kukupachika uhutu na uinterahamwe, kama vile ukikosoa CDM hata uwe constructive vipi utaambiwa we gamba fasta, ingawa huyo anayejiita CDM hana hata kadi! Sijui kama unajua kuwa Salma kikwete naye ni mhutu, kwa sababu tu ya yale maneno ya kikwete.
3. Inaelekea huna ufahamu sana na historia ya Rwanda. unaongelea revenge killings kwa upande wa RPA kivipi? RPA ni jeshi la watutsi waliotokea Uganda, hawakuwa na connection yoyote na watutsi waliokuwa Rwanda. Hawa ni kizazi cha watutsi wafalme waliokimbia miaka ya 50'. Hivyo si kweli kwamba waliua in revenge of ndugu zao waliouliwa na jeshi la Rwanda wakati huo. RPA ndio walikuwa wavamizi. Wahutu ndio waliokuwa wanajihami. Hata leo hii watutsi wa rwanda wanaongea kifaransa, wakati wale wa kuja wanaongea kiingereza. Kinachowaunganisha ni kabila tu na si vinginevyo. Kwa hiyo msingi wa hoja wako ni kinyume chake kabisa, kama kuna habari ya revenge ni wahutu ndio waliotakiwa kurevenge si watutsi! RPA waliua wanyarwanda (>80% wahutu)
toka mwaka 90 hadi 94! Mpaka serikali ikaomba poo kupitia mazungumzo ya Arusha. Wewe unaanza kuhesabu mauaji ya
siku 100 tu ya genocide tena ambayo yana utata wa nani alimuua nani, hii sio sawa hata kidogo.
3. Samahani sikubishii lakini naomba ushahidi wa hao RPA unaodai walikuwa executed kwa war crimes.
4. Mimi kama mtanzania siwezi kuwa mkabila hata nikijitahidi vipi. Narudia tena kukuomba ukatafute historia huru ya Rwanda uone tatizo liko wapi. Minority na majority tunayozungumzia hapa si kama ya huku Tanzania. Sisi tulikuwa na wakoloni wazungu, hivyo majority tulikuwa sisi (waafrika), minorities walikuwa wazungu. Rwanda ilikuwa na mkoloni mzungu + Mtutsi. Hivyo 'the people' walikuwa ni wahutu+watwa wakipambana na mtutsi na mzungu. Ndio maana yakatokea mapinduzi ya 1958/59 kupindua ufalme wa kitutsi. labda ili tuelewane kama watanzania tuchukulie mfano wa zanzibar ambapo majority (wakina karume etc) walipindua usultani wa minorities, na kisha sultani na raia zake wakakimbilia uhamishoni uingereza, oman n.k Hivi wewe ungekubali kizazi kile cha sultani (baada ya miaka 30+) kiunde jeshi toka sijui dubai halafu kishambulie zanzibar kwa miaka minne, kitungue ndege ya karume, kipindue nchi, kiunde serikali nyingine ya minority etc...? Hivyo ndivyo exactly ilivyotokea Rwanda, substitute sultani na kagame.
Kwa kawaida hakuna chuki kati ya mhutu na mtutsi as long as kwa maneno ya Thabo Mbeki katika mgogoro huu huu: "majority are represented and minority are protected". Ndio maana hakukuwa na genocide wala nini miaka yote hiyo toka mapinduzi mpaka pale kagame alipoanza chuki zake mwaka 90.
Na ukiangalia vile vile hakukuwa na chuki dhidi ya watutsi wenyeji wa DRC, walikuwa wanaishi kwa amani kabisa mpaka Mobutu aliwapa uraia miaka ya 70' , mpaka pale kagame alipoanza kuleta vikundi kama M23. Sijui kama unajua M23 walishaanza kuimba 'genocide' against tutsi in DRC, wakati wao ndio walikuwa wanateka miji mizima mizima kama Goma, huku wakitangaza kutaka kwenda kuchukua Kinshasa! walichokuwa wanataka kufanya M23 ndio hicho hicho ambacho Kagame alifanikiwa kufanya Rwanda mwaka 94. Infact makamanda wote wakuu wa 'waasi' wa kitutsi DRC kama Laurent Nkundabatware, Bosco ntaganda, sultani makenga etc, walikuwa askari wa Kagame mwaka 94! Kwa vile unaonyesha kutojua historia naomba utafute vyanzo huru katika CV za hawa mabwana ili uthibitishe kwa uhakika kabisa, usidhani napiga porojo hapa.
Ndio maana nikaanzisha hii thread kuonyesha kuwa technically wanaweza kufanya hivi kwa nchi zote za EA, na kutimiza ile conspiracy ya 'Bahima empire'. Mind you simaanishi watutsi wote, namaanisha watutsi extremists tu.
5. Siwachukii watutsi wala wahutu, nachukia udhalimu. Lengo la kuanzisha thread hii ni kuonyesha udhalimu wa kundi la watu ambao ni extremests, sio kabila zima. Huwezi kusema thread inayoonyesha magaidi ambao ni waislamu ina chuki dhidi ya uislamu.
6. kwa mara nyingine SOMA HISTORIA. Neno
inyenzi (mende) ni jina ambalo akina kagame walijipachika wenyewe tena wakilitumia kujitapa. Hii ilikuwa wakati ule walipokuwa wakifanya mashambulizi Rwanda miaka ya 90, walikuwa wanajiita mende kwa sababu walikuwa wanavamia usiku na asubuhi/mchana hawaonekani. Jina hili walilieneza wenyewe kupitia radio yao waliotengeneza mipakani kwa ajili ya kurusha matangazo yao ya propaganda za kutishia wanavijiji wa Rwanda Ndio maana wahutu waliwaita hivyo. Tafadhali kama huamini jaribu angalau ku-google tu ili upate ukweli toka vyanzo vingine ujithibitishie mwenyewe kuwa hizi si porojo.
7. Denying a genocide is not an international crime. Ni crime katika baadhi ya nchi tu kama Rwanda. Vile vile angalia mtu unadeny nini exactly. Genocide ni mauaji ya kundi moja kulitekeza lingine kwa misingi ya ukabila, udini n.k. Lakini kwa case ambayo kuna civil war ambapo participants ni kabila moja kubwa vs lingine dogo, ni makosa kudai kuwa lile dogo linafanyiwa genocide. It is a war. Ndio maana vita vya wakulima na wamasai morogoro haviitwi genocide against masai. I don't deny wahutu mfano interahamwe wameua watutsi wasio na hatia, far from it. Lakini mauaji ya 94 yanatakiwa yaangaliwe katika muktadha mpana zaidi wa vita vilivyodumu miaka minne, sio tu siku 100 za kutunguliwa ndege. Mi nitakuwa tayari kukubali kuwa kulikuwa na genocide endapo genocide hiyo itakuwa included kama kipengele cha vita kubwa na si genocide yenyewe ikijitegemea kama tukio la kivyake vyake.
kwa sababu kama nilivyosema kwenye post iliyopita kuwa kama swala lilikuwa ni chuki tu, kwa nini wahutu wasingewamaliza watutsi toka walivyowapindua ufalme wao miaka ya 50? mpaka wangoje 94?
Mwisho kabisa sijui umeongea kinyarwanda? hata sijakuelewa mi sizungumzi hiyo lugha. Nasisitiza hakuna chuki hapa, ukweli tu!