1. Ninaweza kukuonyesha nyumba ya familia ya Rais kabila Tanzania vile vile, does that make him Tanzanian? Musinga bandora timothy alivuliwa ubalozi kwa sababu gani back then tofauti unayoijua wewe kinyume na ya uraia? Mbona unanitajia mkewe anatoka kilimanjaro? would that change the fact kwamba bwana Musinga Thomas Bandora alikuwa legally myarwanda wakati ni balozi wa Tanzania? Kama uraia anao basi aliomba baada sio kabla!
Nakuwekea vipande vya habari zake hapa chini ikifuatiwa na link kwenda kwenye article nzima.
"
The government says it has established that
a former Tanzania High Commissioner to Nigeria, Mr Timothy Bandora, and a former District Commissioner and member of the Chama cha Mapinduzi (CCM) National Executive Committee, Mr Jenerali Ulimwengu, are Rwandans."
"Many former Tanzanian citizens like Mr Kamanzi are now prominent persons in Kigali. They include, among others,
Dr L. W. Rutayisire, deputy governor of the Central Bank of Rwanda, who lectured at Dar es Salaam University and served on the board of directors of the Bank of Tanzania. Some of Mr Kamanzi's relatives are still in Tanzania, including his brother, who is employed by the Bank of Tanzania."
Mwingine huyo hapo juu umeona ee? Huko Rwanda huwa hakuna watu wa kuchukua hizi kazi mpaka wapewe wanyarwanda wanaoshtukiwa nchi za watu?
Soma hii habari yake kwa ukamili hapa:
tzna
Pili, Kagame whether he is an extremist or otherwise anaonyeshwa na historia yake si vinginevyo. Mtu aliyepindua serikali halali kwa kufanya mauaji ya kimbari akiwa raia wa nchi nyingine anakuwaje mtu sahihi kuongoza nchi? Naheshimu mtazamo wako ila na wewe heshimu wangu.