hoja yako Nzuri ni Ya muda mrefu, pia imepitwa na wakati. Kwasasa dunia unajua ukweliMkuu Comrade kuna swali ambalo mpaka leo sijui jibu lake. NI kwanini Interhamwe waliwaua watutsi? kwanini hili swali tunakwepa kila mara kutafuta au kueleza majibu yake?
Hawa jamaa machinjachinja tukielewa akili zao ndio tunaweza kudeal nao vizuri, kila siku tunasema watutsi watutsi watutsi, why are we not talking of interhamwe?
KABLA YA MARAIS WA KIHUTU KUULIWA NA WATUTSI HATUKUWAHI KUAMBIWA WAHTU AU WATUTSI WANAULIWA NA MPAKA SASA HILI HALIPO. SASA NI NANI ALIYEANZISHA MAUAJI YA MWININGINE?hoja yako Nzuri ni Ya muda mrefu, pia imepitwa na wakati. Kwasasa dunia unajua ukweli
RIP mtikila
nani alikuwa na idadi Ya waliokimbilia Congopaka na kurudi kwao hiyo idadi nyingine imetoka wapi? na walibaki Congo wakifanya nini kama hawakuwa wapiganaji, manake wananchi wakawaida walikuwa wamesharudi:
Waliuana pande zote mbili. Watutsi wa RPF waliwaua wahutu wakiwemo marais wawili wahutu wa Rwanda na Burundi (habyarimana na ntaryamira) na upande wa wahutu waliwaua watutsi. Tofauti tu ni kwamba kwa vile watutsi walishika dola waliweza kuhadaa jumuia ya kimataifa na kuwafanya wahutu waonekane kama ndio walioua pekee wakati inasadika kuwa idadi ya wahatu waliouawa na watusi ni kubwa kuliko ile ya watusi iliyouawa na wahahutu.
tatizo hawa wajamaa siyo wazalendo na hawana utu hata kidogo1. Jina lake limenitoka labda kuna wanaokumbuka hii kesi: tuliwahi kuwa na Balozi wetu Nigeria miaka fulani kumbe Mnyarwanda tulimpomshtukia alienda kwao Rwanda akapewa zinga la cheo kuiwakilisha Rwanda UN!
Zaidi ya shule yaani kuna kila kituJf ni shule.
Hivi hii chuki hata baada ya kupewa uraia nyie wahutu na watutsi hamuwezi kukaa kimya tu? Maana Tanzania ni bahari hamuwezi kuvuka kwa hizo ngalawa za Hutu vs Tutsi. Au rudisheni uraia mkayapractice huko mlikoacha ushetani wa chuki za ukabila . kila Siku Tutsi /Hutu Hamna Maada nyingine na hiyo mrudishe huko kwenu . inakera.
was due to dissatisfaction wrapped into mistreatment .Mkuu Comrade kuna swali ambalo mpaka leo sijui jibu lake. NI kwanini Interhamwe waliwaua watutsi? kwanini hili swali tunakwepa kila mara kutafuta au kueleza majibu yake?
Hawa jamaa machinjachinja tukielewa akili zao ndio tunaweza kudeal nao vizuri, kila siku tunasema watutsi watutsi watutsi, why are we not talking of interhamwe?
paaaaaaaaaaah...utasikia..................paaaaaaaaaaahUsiwe na shaka baba lao kagame anawazaba vibao wote wanaopinga utawala wake wa kibabe hata kama ni watutsi vibao tu. I mean wananyongwa hotelini etc etc.