Upotoshaji Wikipedia Juu ya Nyerere?

Upotoshaji Wikipedia Juu ya Nyerere?

Hapa umesema sasa kwa nini wewe hukubaliani nao ikiwa wao wanaona sheria ziliyopo zinawakwaza?

Sheria zinawakwaza wao kama watanzania ama kama waislam mkuu?maana there's a difference hapo.

Ni ukweli sheria za nchi yetu ni za kikristo?unaweza kunithibitishia hilo?

Na pia unaweza kunithibitishia kuwa sharia law haitanibaguwa ama kuniondolea uhuru wangu kama Mtanzania nisiye na dini ama kama ni wa dini ya tofauti?
 
Sheria zinawakwaza wao kama watanzania ama kama waislam mkuu?maana there's a difference hapo.

Ni ukweli sheria za nchi yetu ni za kikristo?unaweza kunithibitishia hilo?
Na pia unaweza kunithibitishia kuwa sharia law haitanibaguwa nisiye na dini?
Hakuna tofauti kabisa ikiwa ni Waislaam, wanawake, waarabu ama weusi maadam sheria inawakwaza waislaam kufanya ibada zao wewe mkristu hutakiwi kuweka hoja kwa sababu haikuhusu na hujui ibada za waislaam na ndio maana umekuwa mkristu. Hata siku moja hutasikia Muislaam akihoji ibada za Kikristu kiutawala ikiwa haimuhusu..

Siku zote serikali kazi yake ni kuwawezesha watu wenye tofauti zao za kiimani kufanya ibada zao na sio kuwakwaza kuzuia ibada hizo.. Huu ni Ukomunist ambao ulikataza dini zote kabisa, lakini kama dini moja ibada zake zinapitishwa pasipo kutazama Watanzania wote na wala pasipo kukwazwa ilihali dini nyingine inakwazwa tena kwa mapenzi ya waumini wa dini nyingine hapa unavunja Utanzania na kuwa mfumo unaolenga kuwakwaza upande mmoja. Kuhusu Sheria law ndio maana haipo na hata mimi siungi mkono sheria law nchini kisha kama Wakristu wakilalamikia serikali kuwakwaza ktk ibada zao nitasimama nao japo kwangu hai apply.
 
hakuna merekebisho yanayo hitajika hapa jamani? I think this is a malicous attempt to rewrite history...

Julius Nyerere - Wikipedia, the free encyclopedia

Political repression

People disappeared and victims are estimated to be in the thousands. International human rights organization Amnesty International adopted 141 prisoners of conscience in 1977.[SUP][19][/SUP] In 1979, Nyerere had more political prisoners than even South Africa.[SUP][20][/SUP] Press was controlled through refusal of official registration.
Nyerere's prison camps for political dissidents were notorious for practices such as electric shocks, solitary confinement, and denial of basic necessaries. Almost everyone contracted diseases such as tuberculosis, according to survivors.[SUP][21]
[SUP]][/SUP][/SUP]

Unaweza kusoma ripoti za Amnesty International kwa miaka ya 1979 na 1977 hapa chini na ukapata picha halisi ya madai ya hii makala ya wiki.

Picha iliyo wazi na tofauti na wengi wanavyovifikiri, ni kwamba ni dhahiri asilimia kubwa ya wafungwa wa kisiasa enzi hizo kwenye Jamhuri ya Tanzania walikuwa aidha Wazanzibari waliokuwa kifungoni Zanzibar au Wa-South Africa na Wanamibia, and not so much Watanganyika.

Claims kama "Amnesty International adopted 141 prisoners of conscience in 1977" na "Nyerere had more political prisoners than even South Africa" sijui zinaweza kuthibitishwa kwa namna gani kutokana na contents za ripoti husika.


1 http://www.amnesty.org/en/library/a...ee-45aa-add8-adc02121df2b/pol100061977eng.pdf

Tanzania (United Republic of)
The human rights situation in Tanzania continued to cause great
anxiety to Amnesty International during the period under review. In
February 1977, the Secretary General visited Tanzania with the hope
of discussing the organization's concerns with President Julius Nyerere
and Vice-President Aboud Jumbe, but was unable to obtain meetings
with either. In June 1977, during the Commonwealth Conference
in London, Amnesty International again failed in its attempts to
meet the Tanzanian delegate, Vice-President Aboud Jumbc. The
organization wrote to President Nyerere on 12 November 1976 and
28 April 1977 and to Vice-President Jumbe on 4 February 1977 and
21 March 1977 explaining its concern about the Zanzibar treason
105
trial, and detention, torture and prison conditions on the mainland.
Amnesty International groups continued to work on the cases of
those imprisoned as a result of the Zanzibar treason trial-37 people
sentenced in Zanzibar for treason in connection with the assassination
in 1972 of Sheikh Abeid Karume, President of the Zanzibar
Revolutionary Council. Thirteen others in the same case are still
detained without trial on the mainland (though tried in absentia on
Zanzibar). Defendants' appeals against death penalties and long
prison terms were made to the Supreme Council of the Afro-Shirazi
Party (ASP), functioning as an appeal court, beginning on 11 October
1976. Eight defendants who had originally made confessions of guilt
(on which the case against the others was based) attempted to retract
their guilty pleas and claimed they had made false confessions under
torture and death threats. In an Urgent Action campaign, Amnesty
International requested the Tanzanian authorities to investigate these
claims fully, since the allegations of torture were consistent with
other information received by the organization about interrogation
practices on Zanzibar. On 7 December 1976, the Attorney General
of Zanzibar, Wolfgang Dourado, acting as both prosecutor and
defence counsel in accordance with the Zanzibar judicial system,
requested in his final submission that all death penalties be commuted,
that "excessive" prison sentences be reduced, and that seven defendants
be acquitted as the evidence against them was "hearsay". The
ASP Supreme Council delivered its judgement on 7 February 1977,
confirming the death penalties on seven people (including four detained
on the mainland), commuting 17 other death penalties to
30-35 years' imprisonment, confirming six prison sentences, reducing
13 others, acquitting one person and ordering the release of five
others because their sentences had been served. One other defendant
was released during the trial. There remains a further stage of appeal
to Aboud Jumbe, President of the Zanzibar Revolutionary Council,
but it is not known how or when this appeal will take place. Amnesty
International called President Jumbe on 10 February 1977 expressing
shock at the confirmation of death penalties and urging their cornmutation
on humanitarian grounds.
Amnesty International is concerned about thc Zanzibar treason trial
for several other reasons-the lack of medical treatment for prisoners
(some of whom were very ill in court), the probability that torture
took place to obtain false confessions, and the Government's refusal
to allow family visits to prisoners. The organization deplores the
system of judicial procedure whereby the only defence counsel permitted
to the accused is the state prosecutor and where the appeal
court is a political party council. Finally, there appears to have been
106 107
a constitutional irregularity inasmuch as the ASP Council gave its
judgement four days after the ASP had been dissolved and replaced
by the new Chama Cha Mapinduzi (Revolutionary Party).
Amnesty International is also gravely disturbed by recent reports
of torture used on the Tanzania mainland by the security police, the
widespread use of the Preventive Detention Act, and the conditions
under which detainees are held. In January 1977, President Nyerere
accepted the resignations of the Minister of State in the President's
Office, Peter Siyovelwa, the Minister for Home Affairs, Ali Hassan
Mwinyi and the Regional Commissioners of Mwanza and Shinyanga,
because of killings and torture committed by police and security
officers over whom they had responsibility. Amnesty International
was disturbed to hear reports of torture still being carried out by
security officers on the mainland since then and the Chief Justice of
Tanzania warncd that mass murder was still continuing in the Mwanza
region. A former victim has also described to Amnesty International
his experience of torture which was corroborated by a medical report
of his condition. Amnesty International urged President Nyerere to
investigate torture allegations and ensure that those implicated be
brought to trial.
Amnesty International received new information about detainees
during 1976-1977, from letters smuggled out of Ukonga Prison in
Dar es Salaam, and from a released detainee, Amirali Ramji. This
evidence, which is considered reliable, describes the appalling conditions
of detainees-their poor diet, lack of qualified medical treatment,
lack of exercise, restrictions on relatives' visits and all correspondence,
extremely brutal punishment for offences such as receiving
letters from outside and the total solitary confinement of two
Zanzibari detainees, former Tanzanian Minister of Economic Affairs
Abdulrahman Mohamed Babu and former Colonel Ali Mafudh. All
detainees suffer from hypertension, stomach disorders and eye
trouble, especially Babu, who was reported to have become almost
totally blind in February 1977. The number of detainees on mainland
Tanzania is estimated to be between 1,000 and 1,500. They
include several members of different southern African liberation
movements such as the South West Africa People's Organization,
Pan African Congress, Zimbabwe African National Union and others,
some of them held since 1971, others transferred from detention in
Zambia in 1976.
One former Amnesty International adoptee, Gray Mattaka, was
re-detained in December 1976 after 11 months of freedom following
detention since 1971. Other recent detainees include veteran politician
and former adopted prisoner Joseph Kasella Bantu, a stateless prohibited
immigrant, a Kenyan Asian, and many Tanzanians, some of
whom were arrested for "economic crimes" such as fraud, embezzlement,
etcetera. Some of them were even acquitted in court yet still
detained. One such person, James Magoti, is a bank manager accused
of fraud; he was tortured, together with his wife and brother, and
detained without trial despite his protestations of innocence and the
arrest of most of those who committed the fraud.
On 3 February 1977, a new joint political party, Chama Cha
Mapinduzi (CCM-"Revolutionary Party" in Swahili) was formed out
of the separate mainland (TANU) and island (ASP) parties. Elections
to CCM posts will be held during 1977, and the new draft constitution
for Tanzania (to replace the Provisional Independence Constitution
of 1962) established the new governmental institutions of the Republic.
Zanzibar will retain certain separate features such as thc perpetuation
of the non-elective Zanzibar Revolutionary Council and
the judicial system, but the new constitution is an attempt to bring
mainland and island closer together. The 10th Anniversary of the
Arusha Declaration did not result in any amnesty for political or
other prisoners, despite Amnesty International appeals. The tone of
government messages on this occasion implied that many socialist
goals had not been achieved. President Nyerere made a renewed call
to "increase our discipline, our efficiency and our self-reliance".

2 http://www.amnesty.org/en/library/a...9e-4ca6-a078-7c9d1b5afa3d/pol100011979eng.pdf

Tanzania (the United Republic of)
In May 1978, Andreas Shipanga and other dissident members of southern
African nationalist movements were released after being detained under Tanzania's
Refugee Control Act for periods from 1 to 7 years. In February 1979, Gray
Mattaka, whom Amnesty International adopted after his detention in December
1976, was freed. He had been detained from 1970 to 1976, although acquitted of
treason in 1971. He had been detained again in December 1976.
On Zanzibar, the remaining 14 prisoners in the treason trial of 1973-74 were
released in December 1978. They had been sentenced to death but early in 1978
Vice-President Aboud Jumbe commuted their sentences to 10-year prison terms,
which, with remission, expired at the end of 1978.
Amnesty International continued to investigate the cases of James and Adam
Magoti, both of whom are still held under the Preventive Detention Act despite
the fact that three soldiers were convicted of the offence for which they were
originally arrested. In July 1978, two members of the security police were jailed
for 3 years for torturing James Magoti in November 1976, when he was arrested
on suspicion of theft. He is reported to be in particularly poor health as a result of
the torture and harsh conditions of imprisonment.
In August 1978, Amnesty International sent a mission to Tanzania to discuss a
number of issues, including the use of detention without trial and the need for
improvements in prison conditions. The Zanzibar authorities permitted the delegates
to meet two of the treason trial prisoners. One matter raised with the
Zanzibar authorities was the case of Nasreen Mohamed Hussein, the one remaining
"forced bride" who was compelled to marry a security officer, Ali Foum Kimara, in 1970. Now aged 25, she has four children but she has never accepted
her situation and is still prevented from leaving Zanzibar freely.
 
Hakuna tofauti kabisa ikiwa ni Waislaam, wanawake, waarabu ama weusi maadam sheria inawakwaza waislaam kufanya ibada zao wewe mkristu hutakiwi kuweka hoja kwa sababu haikuhusu na hujui ibada za waislaam na ndio maana umekuwa mkristu. Hata siku moja hutasikia Muislaam akihoji ibada za Kikristu kiutawala ikiwa haimuhusu..

Siku zote serikali kazi yake ni kuwawezesha watu wenye tofauti zao za kiimani kufanya ibada zao na sio kuwakwaza kuzuia ibada hizo.. Huu ni Ukomunist ambao ulikataza dini zote kabisa, lakini kama dini moja ibada zake zinapitishwa pasipo kutazama Watanzania wote na wala pasipo kukwazwa ilihali dini nyingine inakwazwa tena kwa mapenzi ya waumini wa dini nyingine hapa unavunja Utanzania na kuwa mfumo unaolenga kuwakwaza upande mmoja. Kuhusu Sheria law ndio maana haipo na hata mimi siungi mkono sheria law nchini kisha kama Wakristu wakilalamikia serikali kuwakwaza ktk ibada zao nitasimama nao japo kwangu hai apply.
mkuu kama nilivyosema hapo nyuma,tuna wawakilishi ambapo tunaweza kuwatuma kurekebisha sheria zetu ziendane na jamii yetu,yani kuziondoa zile zenye kuwakwaza.Kama sheria inawakwaza wananchi kama waislam na si watanzania,basi hakuna shida ikizungumziwa na watanzania kama mabadiliko yake hayataikwaza jamii yoyote ya watanzania be it muslims,cristians etc.

Pia mkuu elewa kuwa maisha ya kiimani hapa duniani ni kama struggles everyday against hivyo vikwazo.Kama nchi haina sheria za dini moja,basi there is always room for improvemnet.Na ndiyo maana nikasema kuna utofauti kati ya sheria za Taifa na sheria za dini ie sharia law.

Kama kuna sheria ambayo inakataza uhuru wa kuabudu bongo ningependa kuifahamu.
 
Dah..! unasoma darasa la ngapi Mkuu?
zomba nimeamini kuwa upeo wa wengi hapa Jf ni mdogo sana....
Fatilia utaona zaidi ya watu 20 wananikosoa Kiswahili changu.....kisa nini???? nimewaudhi
kwenye jina la Nyerere nimeandika Nyelele......hawahoji kwa nini nimeandika uongo kuwa Mwalimu aliimarisha elimu na kulikuwa na neema ya chakula, kaazi kweli kweli
 
mkuu kama nilivyosema hapo nyuma,tuna wawakilishi ambapo tunaweza kuwatuma kurekebisha sheria zetu ziendane na jamii yetu,yani kuziondoa zile zenye kuwakwaza.Kama sheria inawakwaza wananchi kama waislam na si watanzania,basi hakuna shida ikizungumziwa na watanzania kama mabadiliko yake hayataikwaza jamii yoyote ya watanzania be it muslims,cristians etc.

Pia mkuu elewa kuwa maisha ya kiimani hapa duniani ni kama struggles everyday against hivyo vikwazo.Kama nchi haina sheria za dini moja,basi there is always room for improvemnet.Na ndiyo maana nikasema kuna utofauti kati ya sheria za Taifa na sheria za dini ie sharia law.

Kama kuna sheria ambayo inakataza uhuru wa kuabudu bongo ningependa kuifahamu.
Serikali haitakiwi kuwa na sheria inayokwaza waumini wa dini (watu) ikiwa serikali hiyo inatambua haki na waumini wake. Unapowakwaza kwa sheria tayari serikali imeingilia sheria za waumini hao kama ambavyo tunapinga sheria za dini kuingilia mambo ya serikali. Kuna SERIKALI na WATU na ndio maana tunasema SERIKALI yetu haina dini isipokuwa WATU wake ndio wana dini.. Huwezi ku improve sheria za serikali inayokandamiza watu period - haitakiwi kuwepo ni kuwaachia watu waabudu wanacho abudu kama katiba inavyosema ama wazuie wote kikatiba.
 
Serikali haitakiwi kuwa na sheria inayokwaza waumini wa dini (watu) ikiwa serikali hiyo inatambua haki na waumini wake. Unapowakwaza kwa sheria tayari serikali imeingilia sheria za waumini hao kama ambavyo tunapinga sheria za dini kuingilia mambo ya serikali. Kuna SERIKALI na WATU na ndio maana tunasema SERIKALI yetu haina dini isipokuwa WATU wake ndio wana dini.. Huwezi ku improve sheria za serikali inayokandamiza watu period - haitakiwi kuwepo ni kuwaachia watu waabudu wanacho abudu kama katiba inavyosema ama wazuie wote kikatiba.
Mkuu sheria za dini haziwezi kuwa juu ya sheria za nchi.Kama sheria za nchi zinaruhusu uhuru wa kuabudu hilo linatosha.Tunataka sheria za ku govern nchi na si dhehebu.

Unaweza kunitajia sheria zinazowakwaza ndugu zetu waislam?
 
Mkuu sheria za dini haziwezi kuwa juu ya sheria za nchi.Kama sheria za nchi zinaruhusu uhuru wa kuabudu hilo linatosha.Tunataka sheria za ku govern nchi na si dhehebu.

Unaweza kunitajia sheria zinazowakwaza ndugu zetu waislam?
Swala la Uhuru wa watu kuabudu sio la kisheria ni la kikatiba. Hivyo sheria yoyote ya serikali haiwezi kuwa juu ya uhuru wa ibada za watu na hakuna mahala panaposema sheria ya dini kuingilia mambo ya serikali ama iwe juu ya sheria ya serikali isipokuwa ibada za dini lazima ziheshimiwe na sheria ya serikali.. Unachanganya sana kati ya Ibada na sheria maana ibada sio sheria. Hakuna Muislaam anayeomba sheria ya dini yake itumike nchini ama kwa watu wake isipokuwa ruksa ya watu wake kufuata ibada zao.. Hivyo pamoja na yote lazima sheria za serikali ziwawezesha wananchi wake kufuata ibada zao. Na ibada zao haziwezi kuingilia mamlaka ya serikali Kitaifa kwa mfano wakristu wanapopinga ibada ya kiislaam na serikali inapokea sheria ya kuwakwaza ni ukiukaji wa katiba.
 
Jmushi1, swala la Uhuru wa watu kuabudu sio la kisheria ni la kikatiba. Hivyo sheria yoyote ya serikali haiwezi kuwa juu ya ibada za watu na hakuna mahala panaposema sheria ya dini kuingilia mambo ya serikali isipokuwa ibada za dini lazima ziheshimiwe na sheria ya serikali.. Unachanganya sana kati ya Ibada na sheria maana ibada sio sheria. Hakuna Muislaam anayeomba sheria ya dini yake itumike nchini ama kwa watu wake isipokuwa ruksa ya watu wake kufuata ibada zao.. Hivyo pamoja na yote lazima sheria za serikali ziwawezesha wananchi wake kufuata ibada zao. Na ibada zao haziwezi kuingilia mamlaka ya serikali Kitaifa kwa mfano wakaristu wanapopinga ibada ya kiislaam na serikali inapokea sheria ya kuwakwaza.
mkuu katiba siyo sheria?what's constitutional law?Katiba yetu inaruhusu uhuru wa kuabudu,bila kuvunja sheria za nchi.Kusema wakristu wanapinga ibada za waislam ni kama umepotoka tena na kurudi kule kule.Ni bora tubaki tu kwenye point ya kuangalia how we can make things better.Ni wajibu wetu kama watanzania.
Kwa kumalizia mkuu,katiba ni "sheria mama"
 
Mimi nashangazwa kwanini serikali ya mwalimu ilipata majaribio mengi ya kutaka kupinduliwa na sasahivi mafisadi hawapinduliwi?ama watu wa enzi hizo ni watofauti?kuna namna haya mambo ya uhuru wa habari yanatumika kama kuneutralise wazalendo.Ni kama a "mask" in some ways.Watu wanajiona huru kumbe kiukweli siyo huru hata kidogo..
jmushi1,
Ukiangalia historia ya Afrika baada ya uhuru, mwendawazimu yeyote mwenye bunduki aliyefanikiwa kukamata radio stesheni aliweza kujitangaza kuwa amepindua serikali. Alichofanya Mwalimu baada ya jaribio la 1964 na alifanikiwa kwa kiasi kikubwa, ni kuondoa possibility hiyo kwa kujenga jeshi jipya, jeshi la wananchi wa Tanganyika, na pia kulisambaza katika kambi mbalimbali, kama vile Tabora, Nachingwea, Morogoro, Musoma, etc lakini chini ya one command. Kwa hiyo hata zile njama zote alizokuwa anafanya Kambona akiwa uhamishoni, zisingeweza kufanikiwa kwa sababu isingewezekana kuhusisha majeshi ya Tabora, Nachingwea, etc, bila habari hizo kujulikana. Hata zile njama za 1982 wapangaji wake walijua kwamba ingekuwa vigumu kupindua serikali kwa hiyo wakaamua kutungua ndege ya Mwalimu alipokuwa anarudi kutoka Butiama. Lakini hii pia ilishindikana kwa sababu Mwalimu alirudi kupitia Arusha, kwa njia ya barabara na wale vijana waliokuwa wamefanya mipango hiyo wakakamatwa mmoja mmoja. Sasa unauliza kwa nini mafisadi hawapinduliwi? Jibu lake linafanana na jibu, kwa nini CCM haiangushwi. Mwalimu alifanikiwa kujenga chama cha Watanzania, na vile vile jeshi la Watanzania. Lakini kwa masikitiko, mafisadi wamekiteka chama hicho na leo wanavuna, albeit negatively, ufanisi wa sera za Mwalimu. Nina hakika kuna wengi jeshini wasioridhishwa na hali na mwenendo wa mafisadi lakini itakuwa vigumu kwao kupanga bila kujulikana kwa mafisadi ambao wanaongoza kwenye TISS, army intelligence, etc. Yaani inasikitisha ninaposikia kuwa mtu kama Lowassa, ana watu wake katika idara zote muhimu za serikali. Hapo utajinasuaje?
 
jmushi1,
Ukiangalia historia ya Afrika baada ya uhuru, mwendawazimu yeyote mwenye bunduki aliyefanikiwa kukamata radio stesheni aliweza kujitangaza kuwa amepindua serikali. Alichofanya Mwalimu baada ya jaribio la 1964 na alifanikiwa kwa kiasi kikubwa, ni kuondoa possibility hiyo kwa kujenga jeshi jipya, jeshi la wananchi wa Tanganyika, na pia kulisambaza katika kambi mbalimbali, kama vile Tabora, Nachingwea, Morogoro, Musoma, etc lakini chini ya one command. Kwa hiyo hata zile njama zote alizokuwa anafanya Kambona akiwa uhamishoni, zisingeweza kufanikiwa kwa sababu isingewezekana kuhusisha majeshi ya Tabora, Nachingwea, etc, bila habari hizo kujulikana. Hata zile njama za 1982 wapangaji wake walijua kwamba ingekuwa vigumu kupindua serikali kwa hiyo wakaamua kutungua ndege ya Mwalimu alipokuwa anarudi kutoka Butiama. Lakini hii pia ilishindikana kwa sababu Mwalimu alirudi kupitia Arusha, kwa njia ya barabara na wale vijana waliokuwa wamefanya mipango hiyo wakakamatwa mmoja mmoja. Sasa unauliza kwa nini mafisadi hawapinduliwi? Jibu lake linafanana na jibu, kwa nini CCM haiangushwi. Mwalimu alifanikiwa kujenga chama cha Watanzania, na vile vile jeshi la Watanzania. Lakini kwa masikitiko, mafisadi wamekiteka chama hicho na leo wanavuna, albeit negatively, ufanisi wa sera za Mwalimu. Nina hakika kuna wengi jeshini wasioridhishwa na hali na mwenendo wa mafisadi lakini itakuwa vigumu kwao kupanga bila kujulikana kwa mafisadi ambao wanaongoza kwenye TISS, army intelligence, etc. Yaani inasikitisha ninaposikia kuwa mtu kama Lowassa, ana watu wake katika idara zote muhimu za serikali. Hapo utajinasuaje?
nashukuru sana kwa jibu hili,hakika wewe ni hazina kubwa humu JF.Nimejifunza mapya kabisa hapa.
 
mkuu katiba siyo sheria?what's constitutional law?Katiba yetu inaruhusu uhuru wa kuabudu,bila kuvunja sheria za nchi.Kusema wakristu wanapinga ibada za waislam ni kama umepotoka tena na kurudi kule kule.Ni bora tubaki tu kwenye point ya kuangalia how we can make things better.Ni wajibu wetu kama watanzania.
Kwa kumalizia mkuu,katiba ni "sheria mama"
Unaona sasa! ndio maana unajichanganya. Hivi kweli unataka kunambia Ndoa (Marriage) ni sheria kwa sababu kuna Marriage law. Marriage law sio ndoa ila ndoa inalindwa na sheria zake na ndio maana ikaitwa marriage law. Kwa maana hiyo sheria inatakiwa kuulinda uhuru wa watu kuabudu kikatiba ikaitwa Constitutional law.
 
Unaona sasa! ndio maana unajichanganya. Hivi kweli unataka kunambia Ndoa (Marriage) ni sheria kwa sababu kuna Marriage law. Marriage law sio ndoa ila ndoa inalindwa na sheria zake na ndio maana ikaitwa marriage law. Kwa maana hiyo sheria inatakiwa kuulinda uhuru wa watu kuabudu kikatiba ikaitwa Constitutional law.
Ok,katiba ni sheria mama.Labda hapo hatutachanganyana.
 
can you please be serious?kanisa katoliki lina jeshi na wawakilishi bungeni?hivi mnalidharau hili jamvi kiasi hiki?weka facts acha story za magengeni.
Pope John Paul alipokuja Tanzania alifahamishwa kuwa tayari Wakatoliki wana jeshi lao Tanzania, hili halina ubishi (lilishajadiliwa hapa JF)! labda tuiombe Serikali itutoe wasiwasi sisi Waislamu kuhusu hili, kwa sababu kuna mashaka na wasiwasi kuwa wanachama wa jeshi hili la Kikatoliki ndio wanaotumwa kupelekwa Zanzibar na kuwaua Wazanzibar kila wakati wanapojihisi kufanya hivyo
jmushi said:
Kama kuna sheria ambayo inakataza uhuru wa kuabudu bongo ningependa kuifahamu.
Fuatilia vizuri madai ya Waislamu Mkuu! madai mengi ya Waislamu si ya Kikatiba, mfano si katiba wala sheria ya nchi hii inayotoa idhini kuwa Waislamu wapigwe panga na NECTA lakini wanapigwa panga na NECTA! hivyohivyo katika ubaguzi mwingine wanaofanyiwa Waislamu....ndio maana hata Katiba mpya Waislamu wa Watanzania wanaiona kuwa haitafanya chochote kikubwa kuwapunguzia madhila yao kwa sababu matatizo yao makubwa si ya Kikatiba! umeelewa?
 
Pope John Paul alipokuja Tanzania alifahamishwa kuwa tayari Wakatoliki wana jeshi lao Tanzania, hili halina ubishi (lilishajadiliwa hapa JF)! labda tuiombe Serikali itutoe wasiwasi sisi Waislamu kuhusu hili, kwa sababu kuna mashaka na wasiwasi kuwa wanachama wa jeshi hili la Kikatoliki ndio wanaotumwa kupelekwa Zanzibar na kuwaua Wazanzibar kila wakati wanapojihisi kufanya hivyoFuatilia vizuri madai ya Waislamu Mkuu! madai mengi ya Waislamu si ya Kikatiba, mfano si katiba wala sheria ya nchi hii inayotoa idhini kuwa Waislamu wapigwe panga na NECTA lakini wanapigwa panga na NECTA! hivyohivyo katika ubaguzi mwingine wanaofanyiwa Waislamu....ndio maana hata Katiba mpya Waislamu wa Watanzania wanaiona kuwa haitafanya chochote kikubwa kuwapunguzia madhila yao kwa sababu matatizo yao makubwa si ya Kikatiba! umeelewa?
Kwahiyo hayo matatizo unayoona wewe kuwa si ya kikatiba yatamalizwa vipi?Hilo la wakatoliki kuwa na jeshi ni stori magengeni hizo,yani unataka kusema kuwa hilo jeshi la wakatoliki amiri jeshi mkuu wake si JK?hao wanachama wa jeshi la wakatoliki huko Zanzibar huwa wanatumwa na nani?be serious please.Kuhusu NECTA,nyie mlishasema chadema ndo chama cha kidini,na ccm siyo,ama?
 
Ok,katiba ni sheria mama.Labda hapo hatutachanganyana.
Sijakuelewa hapa - Constitutional act? maana katiba pekee ni Kanuni (Principal) zinazo constute kitu gani kinazaliwa au kuanzishwa iwe nchi, chama au shirika lakini kanuni sio sheria. Pengine mimi ndio nakosea na nipo radhi kukosolewa lakini ndivyo navyojua..
 
Sijakuelewa hapa - Constitutional act? maana katiba pekee ni Kanuni (Principal) zinazo constute kitu gani kinazaliwa au kuanzishwa iwe nchi, chama au shirika lakini kanuni sio sheria. Pengine mimi ndio nakosea na nipo radhi kukosolewa lakini ndivyo navyojua..

Katiba ndo foundation na msingi wa sheria zote.Na ndo maana huwa inaitwa "sheria mama"
 
Kwahiyo hayo matatizo unayoona wewe kuwa si ya kikatiba yatamalizwa vipi?
Yatamalizwa wakati nchi itakapogawanywa! tulikuwa na nafasi ya kuyarekebisha haya masuala kwa miaka 50 hatukuitumia na tumeshindwa sasa tufanye nini zaidi ya kuagana na kila mtu achukua chake?....(hilo swali umeniuliza mimi na jibu ni la kwangu binafsi, tafadhali usimuhusishe Muislamu mwingine yoyote na jibu hili bila ya ridhaa yake)
jmushi! said:
yani unataka kusema kuwa hilo jeshi la wakatoliki amiri jeshi mkuu wake si JK?hao wanacha wa jeshi la wakatoliki huwa wanatumwa na nani?be serious please
Na ndio maana nikakwambia kuwa kuala hili suala linahitaji majibu ya Kiserikali, kwa sababu lilishajadiliwa hapa kiurefu lakini watu kama mimi hatukupatiwa jibu ambalo roho zetu zinaweza kutulizana ni Serikali peke ndiyo inayoweza kutupoza nyoyo zetu.
 
Yatamalizwa wakati nchi itakapogawanywa! tulikuwa na nafasi ya kuyarekebisha haya masuala kwa miaka 50 hatukuitumia na tumeshindwa sasa tufanye nini zaidi ya kuagana na kila mtu achukua chake?....(hilo swali umeniuliza mimi na jibu ni la kwangu binafsi, tafadhali usimuhusishe Muislamu mwingine yoyote na jibu hili bila ya ridhaa yake)Na ndio maana nikakwambia kuwa kuala hili suala linahitaji majibu ya Kiserikali, kwa sababu lilishajadiliwa hapa kiurefu lakini watu kama mimi hatukupatiwa jibu ambalo roho zetu zinaweza kutulizana ni Serikali peke ndiyo inayoweza kutupoza nyoyo zetu.
nchi igawanywe kivipi mkuu?yani waislam waishi peke yao?wapi?ama unazungumzia muungano?
 
nchi igawanywe kivipi mkuu?yani waislam waishi peke yao?wapi?ama unazungumzia muungano?
Muungano uvunjwe halafu upande wa Tanganyika tugawane maeneo au majimbo ya Waislamu na Wakristo.
 
Back
Top Bottom