Upotoshaji Wikipedia Juu ya Nyerere?

Upotoshaji Wikipedia Juu ya Nyerere?

Kwa hiyo ninaposafiri kutoka Arusha kwenda Dar-es-Salaam nitahitaji pasipoti?
Si lazima iwe pasipoti tunaweza kufanya kama vile pendekezo la kwenda Zanzibar sasa hivi yaani uwe na kitambilisho cha ukazi.
 
Shwari,
Unajuaga kupotea. Lakini ninachokupendea, you always seem to be there at the right time. Nice to see you here man!
 
Now i know kwanini sera na fikra za Nyerere zinapingwa sana na wale ambao tulifikiri watakuwa watetezi wake kwa sababu ni watetezi wakubwa wa sera za chama alichokianzisha.

Chama kina viongozi na kiongozi kama mbovu na au alifanya maovu tumtetee? tutakuwa mapunguani tukitetea uovu.

Tanzania hii haijawahi kuwa na viongozi wabovu zaidi ya Nyerere, Karume na Jumbe.
 
Katiba ndo foundation na msingi wa sheria zote.Na ndo maana huwa inaitwa "sheria mama"
Yes katiba ni foundation ya sheria zote ni Principal (kanuni) inayolindwa na na sheria. Inaitwa sheria mama kwa sababu ndio kielelezo cha Kanuni..sheria inaweza kuwepo pasipo kanuni lakini kanuni lazima isimamiwe na sheria kulinda wadau wake.

jmushi1, hapa ndipo Waislaam wengi tunashindwa sana kuwaelewa. Tumetumia siku nzima ya jana mimi kukufahamisha wewe lakini bado hutaki kuelewa jambo dogo sana ya kwamba serikali haitakiwi kuingilia ibada za dini maana zinalindwa na katiba. Wewe ukinambia mimi kwamba serikali haitakiwi kuingilia ibada za kikristu wala sintouliza mara ya pili (ni kweli) lakini ajabu ni kwamba swala linapokuwa upande huu lazima watu mtatafuta sababu nyinginezo kupinga ama kuitetea serikali. Muda wote umejaribu hapa kuitetea serikali wakati swala sii lako wala la kikristu ni la kikatiba hapa ndipo hua tunaposhindwa kuwaelewa.
 
Tatizo lenu jingine wabongo mliozaliwa juzi mkaambiwa Nyerere ni mtakatifu, huo ndiyo upande wake wa historia ambao hamkufundishwa mkiwa shule lakini kama Nyerere alitawala kwa miaka 27 nchi ikiwa na chama kimoja, redio moja, magazeti ya serikali peke yake, yeye ndiye rais wa nchi na raisi wa chama...hivi atakosaje kuwa DIKTETA...nadhani kuna haja ya darasa la historia kwa vijana wa leo kama lile aliloliotwa mwalimu L. Mwijage kuhusu "Dark side of Nyerere's Legacy" au ile ya bw. Said Mohamed Said kuhusu dhulma aliyofanya Nyerere katika kupotosha historia ya mapambano ya uhuru wa Tanganyika kwa makusudi ya kujitengenezea yeye "Cult".
 
Samahani Mkandara, najua uelewa wangu ni mdogo lkn ningependa kuuliza. Inakuwaje muhitaji nguvu ya serikali katika kufuata utaratibu wenu wa ibada (including mambo ya mirathi na ndoa)?

Imani imekosa nguvu ya kuwashawishi waumini wenu kufuata taratibu za rituals zote za kiislamu?

Nakupa mfano, wakatoliki hawana talaka labda pale mmeoana ndugu wa damu. Lkn bado wakatoliki wengi wanatalikiana kufuata taratibu za kiserikali; hakuna hata siku kanisa likaipigia kelele serikali kwanini imewataliki waumini wake. Kifupi hailazimishi imani kwa mtu yoyote.

Turudi kwenye mirathi, vikao vya ukoo (makabila/traditional) vinasikilizwa na serikali kwa uzito ule ule wa will ya marehemu kama upo. Serikali inaongoza utaratibu tu, tena hata %age mnajadiliana na kukubaliana.

Sasa kinachonitatiza, kwanini msianzishe hizo mahakama zenu ndani ya say bakwata then muhukumiane wenyewe kwa wenyewe. Mtu asipotaka au asiporidhika awe na uwezo wa kutake refuge serikalini. Na mkiona wengi wanawakimbia, mjue kuna shida kwenye hizo sheria zenu!

Again excuse my ignorance!
Kazi ya serikali ni kulinda ikiwa katiba inawapa wananchi wake uhuru wa kuabudu? labda nikupe mfano mdogo sana. Kuzika mtu wako ni ibada, sasa inakuwaje watu tunaomba kibali cha kuzika kabla hatujazika? kwa nini tusizike tu kiholela ama tunavyopenda. Kazi ya serikali ni ku accommodate ibada za watu kisheria kuwalinda..Hata mkitaka kupitisha maiti barabarani serikali inaweza kusimamisha traffic barabarani ili mkazike maadam shughuli yenyewe sio hatarishi kwa wananchi.

Sawa na maadamano ni haki yenu, serikali na jeshi la polisi lipo kuwalindeni na sio kuwazuia kuandamana. Isipokuwa pale tu shughuli hiyo inaweza kuhatarisha haki na usalama wa watu wengine. Sheria zipo kulinda watu kutofanya vitu kiholela hasa pale inapohusu jamii, sii swala la ku organise vitu kikristu kwa sababu wao wanafanya ibada zao tofauti basi kila gani inalazimika iwe kama wakristu.

Nitakwambia moja tu ya kwamba Wakatoliki huenda kukiri madhambi yao kwa padre au Askofu sisi wengine hatufanyi hivyo na hamuwezi kutulazimisha kwa sababu sisi Sheikh ni binadamu tu hana mamlaka yoyote ya kiungu ila ni mchungaji (mwalimu) tu. Hivyo nyie nendeni kupatanishwa na Padre na serikali lazima iheshimu ibada yenu haina talaka, nasi tunaotalakiana tuheshimiwe.
 
Ofcourse hakuwa malaika ingawa mengi aliyafanya for the welbeing of Tanzania na ndo maana kila tunapojikwaa huwa twankumbuka
 
Ofcourse hakuwa malaika ingawa mengi aliyafanya for the welbeing of Tanzania na ndo maana kila tunapojikwaa huwa twankumbuka
Unaweza kutunyofolea japo machache tu aliyoyafanya for the well being of Tanzania?
 
Takwimu hizo si rahisi kupata. kuna kukuza mambo, lakini wapo waliotoa ushuhuda wa kuteswa, mf. marehemu maganga.

Ama bora waulizeni hawa
  • kambona
  • mapalala
  • kasanga tumbo
  • fundikira
  • bibi titi
  • sheikh takadir
  • zakaria hanspope
  • kassim hanga-huyu alimuonesha jangwani paleeeee......akapelekwa znz asubuhi hajulikani alipo hata kaburi
  • othman sharif nae huyu..alikamatwa hapa dar akaoneshwa hadharani..judgemnt ikapitishwa hapo na nyerere asubuhi karume znz akatekeleza hukuma..nae hajulikani kazikwa wapi
  • mohamed shamtee...aliekuwa waziri mkuu wa znz kabla ya mapinduzi...kapinduliwa znz..kafia jela za tanganyika
  • mamia ya waliopoteza maisha yao kuhamishwa kwa nguvu kwenda 'gezaulole"
  • unyanganyi wa nyumba za watu binafsi hata kama ulikua na mkopo\
  • unyanganyi wa mashamba ya watu binafsi
  • unyanganyi wa mashule ya binafsi na taasisi za dini
  • kuhusu propaganga ya uhujumu wa uchumi watu walinyanganywa pesa na mali zao na wengine kutiwa ndani...wengine kweli walipoteza maisha...lengo ni kupoteza mawazo ya watu...kwamba hajashindwa kuendesha nchi na uchumi ila kuna wachache ndio wanahujumu
  • vita vya uganda ..lengo kumrudisha rafiki yake obote....ni nyerere ndie aliemshawishi obote aende Singapore kuhudhuria mkutano wa commonwealth na huku Amin akampindua..hivyo alitaka kumrejesha
  • mamia watiwa ndani wakati alipomwachisha jumbe urais wa znz
  • alipeleka wa tz biafra kufa katika vita kwa hisia za ukatoliki
  • 1982 vijana walio choka na utawala wake waliteka ndege ya ATC kumlazimisha kujiuzulu kutokana na kushindwa kuendesha nchi....walipewa hifadhi huko London.....
kwa vijana wengi hawajui haya..wao wanao soma zaidi propaganda....
 
Chama kina viongozi na kiongozi kama mbovu na au alifanya maovu tumtetee? tutakuwa mapunguani tukitetea uovu.

Tanzania hii haijawahi kuwa na viongozi wabovu zaidi ya Nyerere, Karume na Jumbe.

Nimekusoma mkuu Zomba.Nimependa comment yako kwa sababu umekuwa realistic kwa kuangalia ukweli badala ya ushabiki wa kisiasa.
 
Jee wajua ya kwamba wakati wa mwalimu..akisafiri kwenda Tabora..basi siku ya kurudi Dar es salaam..maduka yote yanafungwa..banki zote .bima na maofisi ya serikali wote mnajipanga kuanzia airport mpaka ikulu na majani mnamsubiri aje mupige makofi..masaa 4 mpaka 6 yanapotea ....ama kweli ndio maana ni mtakatifu
 
Mkuu Bumela,

Tatizo la internet ndilo hili. Wale watoto wanaoanza kujua kuandika na kusoma nikija nyumbani kwako kukutembelea unawaambia waende wakacheze, maana mazungumzo hawatayaelewa.

Sasa, huku mitandaoni huwezi kuwazuia, maadamu wanajua kutengeneza ID na kuweka password basi matokeo yake ni kama huyo unayemsema, yaani unajikuta unajadili na mtoto wa darasa la pili.

Ukijali sana watu kama hawa, unaweza kukata tamaa kufungua JF.

Mkuu Boflo,
nashukuru kwa nasaha zako.
 
Yes katiba ni foundation ya sheria zote ni Principal (kanuni) inayolindwa na na sheria. Inaitwa sheria mama kwa sababu ndio kielelezo cha Kanuni..sheria inaweza kuwepo pasipo kanuni lakini kanuni lazima isimamiwe na sheria kulinda wadau wake.

jmushi1, hapa ndipo Waislaam wengi tunashindwa sana kuwaelewa. Tumetumia siku nzima ya jana mimi kukufahamisha wewe lakini bado hutaki kuelewa jambo dogo sana ya kwamba serikali haitakiwi kuingilia ibada za dini maana zinalindwa na katiba. Wewe ukinambia mimi kwamba serikali haitakiwi kuingilia ibada za kikristu wala sintouliza mara ya pili (ni kweli) lakini ajabu ni kwamba swala linapokuwa upande huu lazima watu mtatafuta sababu nyinginezo kupinga ama kuitetea serikali. Muda wote umejaribu hapa kuitetea serikali wakati swala sii lako wala la kikristu ni la kikatiba hapa ndipo hua tunaposhindwa kuwaelewa.
Ni kweli mkuu,nikiri kwamba nimeshindwa kukuelewa kabisa!Nimeshindwa kuelewa jinsi ibada za ndugu zetu waislam zinavyoingiliwa na serikali.Ni kweli kabisa umerudi mara kadhaa kusema serikali inawaingilia,lakini nimeshindwa kuona jinsi hayo yanavyofanyika.Nilikuuliza zaidi ya mara moja unipe mfano,lakini umebaki tu kusema sielewi.Mkuu tuelimishane basi.
 
Tabora, Kigoma, Singida na mikoa yote ya Pwani. Halafu sehemu kama Mwanza na Shinyanga: Waislamu wa Mwanza waende Shinyanga na Wakristo wa Shinyanga waende Mwanza au kinyume chake.
Hivyohivyo itumike kuhusu mikoa mingine iliyobakia.

Madhali kuna watu kama nyie ambao bado mnaheshimika na waislam wenzenu kama waislam,basi haya matatizo kamwe hayataisha kwa amani ama usalam,mark my words.Nyie mnaojificha nyuma ya pazia la uislam na mawazo yenu ndo haya.Nina wasiwasi sana na mustakabali wa Taifa.
 
Ni kweli mkuu,nikiri kwamba nimeshindwa kukuelewa kabisa!Nimeshindwa kuelewa jinsi ibada za ndugu zetu waislam zinavyoingiliwa na serikali.Ni kweli kabisa umerudi mara kadhaa kusema serikali inawaingilia,lakini nimeshindwa kuona jinsi hayo yanavyofanyika.Nilikuuliza zaidi ya mara moja unipe mfano,lakini umebaki tu kusema sielewi.Mkuu tuelimishane basi.
Sijaona mahala unaniuliza ibada zipi lakini najua unataka kurudisha ubishi ule ue wa wewe kuitetea serikali wakait hizi ni ibada za waislaam.

Labda nikuulize wewe, kwa mfano Vatican wakitaka kuleta misaada nchini kwa Wakristu iwe hata Ujenzi wa kanisa, Je serikali inaweza kuingilia na kukataa msaada huo kwa sababu Waislaam wamesema hawana faida nao?..
 
Sijaona mahala unaniuliza ibada zipi lakini najua unataka kurudisha ubishi ule ue wa wewe kuitetea serikali wakait hizi ni ibada za waislaam.

Labda nikuulize wewe, kwa mfano Vatican wakitaka kuleta misaada nchini kwa Wakristu iwe hata Ujenzi wa kanisa, Je serikali inaweza kuingilia na kukataa msaada huo kwa sababu Waislaam wamesema hawana faida nao?..
Hamna shida nieleze nakusikiliza kuhusu hizo ibada.Kama mtu haelewi si unamwelewesha mkuu wangu?orodhesha hizo ibada ili twende straight to the point instead of beating around the bushes.

Huo mfano wa Vatican nimekuelewa,lakini sina mfano wa jambo kama hilo lilotokea.Kama limetokea si haki kabisa.Lakini nipatie mfano ili nichanganye na zangu.Je una maanisha kwamba serikali ya JK imezuia msaada kwa waislam kwasbabu hauna maslahi/faida na wakristo?
 
Kilasara,
Juhudi bado zinaendelea. Ni mchakato wa muda mrefu. Wikipedia hawana lolote juu ya hizi juhudi. Nadhani kwa sasa wamekaribia kumtangaza "mwenye heri" na itachukua miaka na miongo kabla ya kufikia hatua ya "mtakatifu."

Mtakatifu wanini? kufunga watu magerezani, kuua au kusababisha vifo kama vya Hanga ? kuwaweka watu wake kwenye folen ya kugombea sukari robo kilo, kuwafanya watu wavae MAKATAMBUGA , viatu vya matairi, kusababisha rushwa tanzania tuliyo nayo leo hii kwa kuwabana watu wasiendelee kwa kutuletea ujamaa na kujitegemea? kwa lipi hasa mtu huyu aitwe mwenye heri, angekuwa mwenye heri mwanawe mtiifu angemfanyia aliyomfanyia??? MY FOOT !
 
Back
Top Bottom