Upo umuhimu wa urais 2015 kumpa mwanamke kupunguza mwendo kasi huu..

Status
Not open for further replies.
NI MAONI binafsi naomba mchango wenu ili kupunguza speed ya gari letu ambalo linakwenda 399 km-ccm2015!

hayo ni mawazo ya mzee makamba kipindi anamwaga sita kwenye uspika leo kiko wapi..
itabidi ufikirie sana kwenye hili la uraisi..
 
inabidi magamba wampe Vicky Kamata... wamjaribu na yeye kama walivyomjaribu Anna Semamba Makinda...
 
Mleta hoja anafikiria nini hasa...mm sijamwelewa, ila kiongozi bora anapatikana kwa demokrasia ya kweli bila kujali jinsia, dini wala ukabila...hapa hoja ni kiongozi gani atakayeona matatizo ya watanzania ni yake na jinsi gani ya kuwasaidia? .. Haina maana kuleta hoja ya kijinsia kwenye uongozi wa nchi yetu..ni sawa na nafasi ya Makinda bungeni na watanzania tumeshuhudia hoja ya jinsia inavyoporomosha democrasia ya kweli aliaoiacha Mzee Sita ndani ya Bunge letu tukufu...Nafkiri hatuitaji hoja ya jinsia gani ziwe za kimataifa ama kitaifa--Ila tunamtaka kiongozi atakayeona matatizo na shida ya watanzania kwa dhati kabisa na akubali kuyashughulikia....
 
Huu si utabiri,huu si upgaji Ramri.
Ila ndicho kinacho andaliwa na watu fulani fulani.
Kuhakikisha mtu fulani Mwanamke Agombe Urais.
 
Tunajua kwamba ndicho mafisadi wanachoandaa. Tanzania inamhitaji Sata. Sijaona mwanamke yeyote aliye na ujasiri wa kufanya anayoyafanya Sata kule Zambia. Hakuna.
Tanzania inamwitaji Sata,ATA NA IDE,Kwanza Mpka masharti ya Zindiko la nchi kupitia Mwlm.Jk.nyerere pake kilwa livunjwe.
Na kibatari cha kupumbumbaza Wa Tz kife,na safari hii wamekafara kweli.

Yale makaburi yaliopo pale Nungwi chini ya Maji yaondoke,Ni masafi na yapo mengi kupita kiasi.
Mki yafanya haya nchi Hii SATA atakuja,

magamba hawana shda na SATA WALA ATA
 
Kwani walipo muondoa Sitta na kumweka yule Bibi yetu Makinda tulifanya nini tofauti zaidi ya haya tunayofanya sasa!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom