Kuna siku nilikuwa nasafiri kutoka Ar - Dar, ndani ya gari nilikaa na jama mmojabaliyenieleza mpango huo mzima na jina la mgombea. Jamaa aliweka wazi kuwa ni Pr. Anna Tibaijuka ndiyo anayendaliwa awe mrithi wa JK na hili linasukumwa sana na wahaya ambao wanaukubi mpango huu. Hayi yalikuwa ni kwa mujibu wa jamaa huyo, sasa sijajua yana ukweli kiasi gani.Mi Migiro 2015
Tanzania inamwitaji Sata,ATA NA IDE,Kwanza Mpka masharti ya Zindiko la nchi kupitia Mwlm.Jk.nyerere pake kilwa livunjwe.
Na kibatari cha kupumbumbaza Wa Tz kife,na safari hii wamekafara kweli.
Yale makaburi yaliopo pale Nungwi chini ya Maji yaondoke,Ni masafi na yapo mengi kupita kiasi.
Mki yafanya haya nchi Hii SATA atakuja,
magamba hawana shda na SATA WALA ATA
Acha upumbavu wa dharau za kijinsia wewe,Hatuwezi kutawaliwa na mtu anayekojoa akiwa amechuchumaa..
Tunajua kwamba ndicho mafisadi wanachoandaa. Tanzania inamhitaji Sata. Sijaona mwanamke yeyote aliye na ujasiri wa kufanya anayoyafanya Sata kule Zambia. Hakuna.
hebu elezea vizuri hapo
acha utani wewe, hivi haujaona mfano tulionao wa Spika wa Bunge? angalia tena na upande wa UWT, halafu unasema mwanamke awe raisi, nasema hii bado kabisa kwa Tanzania yetu. hata u makamu bado kabisa.
Acha matusi wewenakuunga mkojo na nanihiu yangu yoote!
Simba hawezi kupewa hata form ila yupo ambae Marekan inashnkz awe rais.jk kaambiwa sanaMsishangae sofia simba, ndo hapo mtasema heri ya jana
Subir akikabiziwa kibatar au mwenge utakaa sanaakatiba ya uwt au ya saccos au ya prt?
Huu si utabiri,huu si upgaji Ramri.
Ila ndicho kinacho andaliwa na watu fulani fulani.
Kuhakikisha mtu fulani Mwanamke Agombe Urais.
Hatuwezi kutawaliwa na mtu anayekojoa akiwa amechuchumaa..
Hatuwezi kutawaliwa na mtu anayekojoa akiwa amechuchumaa..
Vyoo vya ikulu ni vya kuchuchumaa?Lol!Neways....Hatuwezi kutawaliwa na mtu anayekojoa akiwa amechuchumaa..
Huu si utabiri,huu si upgaji Ramri.
Ila ndicho kinacho andaliwa na watu fulani fulani.
Kuhakikisha mtu fulani Mwanamke Agombe Urais.