Kwa nini unaongelea 2016,ina maana 2015 hakuna uchaguzi mkuu?Ramri please.......Huu si utabiri,huu si upgaji Ramri.
Ila ndicho kinacho andaliwa na watu fulani fulani.
Kuhakikisha mtu fulani Mwanamke Agombe Urais.
Hatuwezi kutawaliwa na mtu anayekojoa akiwa amechuchumaa..
acha utani wewe, hivi haujaona mfano tulionao wa Spika wa Bunge? angalia tena na upande wa UWT, halafu unasema mwanamke awe raisi, nasema hii bado kabisa kwa Tanzania yetu. hata u makamu bado kabisa.
Huu si utabiri,huu si upgaji Ramri.
Ila ndicho kinacho andaliwa na watu fulani fulani.
Kuhakikisha mtu fulani Mwanamke Agombe Urais.
Mi Migiro 2015
Mawazo mgando kama haya hayana nafasi na yanapaswa kupigwa vita na watu makini kwa nguvu zote.Hatuwezi kutawaliwa na mtu anayekojoa akiwa amechuchumaa..
Hatuwezi kutawaliwa na mtu anayekojoa akiwa amechuchumaa..
Hapana co wananchi, sema tume ya uchaguziwananchi ndio wataamua..