PMNBuko
JF-Expert Member
- Dec 27, 2010
- 967
- 154
Urais hauhitaji kupewa bali kutafuta na kuridhiwa na watanzania. Acha wawaweke Akina Dr. ARM na Prof AT halafu CCM waone hasira za watz. Kwa namna Spika anavyoendesha Bunge ni dhahiri kwamba Urais hatujapata mwanamke wa kuhimili mikiki hii ya sasa na uchumi dhaifu