mbingunikwetu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 13,664
- 18,039
Duniani kote kuna vurugu patashika nguo chanika!! Kisa!! Watu wameishtukia chanjo ya corona!! Hali ni mbaya !! Watu wako tayari kufa kuliko kuchanjwa!! Vyombo vya habari vimezuiwa kutangaza hali halisi ilivyo lakini watu wamejitolea kupita mitaani na magari ya matangazo kuhusu athari za corona!! Australia hali ni mbaya!! Ufaransa ndo usiseme!! Jionee mwenyewe gari linalotangaza kupinga chanjo ya corona likiwa mitaani huko ughaibuni.