Uchaguzi 2020 Upinzani, msiende mahakamani wala msihamasishe watu kuingia barabarani. Tuacheni Wananchi tuyaone wenyewe

Uko sahihi kabisa. Wapinzani inabidi wajipange upya, tena waje na vijana wapya, na waache masuala ya kupinga kila kitu, Kuna kupinga lakini waangalie kwnaza wanapinga nini, na wapi. Kipindi cha corona ndio chadema walipoteza watu wengi sana.
Hakuna cha kipindi cha corona wala nini, hakuna jema upinzani wanaweza kufanya kwani ukweli ni kwamba watanzania ni waoga wa mabadiliko ( fear of the unknown) na tumelemazwa na misemo ya kale eti zimwi likujualo, halikuli likakwisha ndio haya sasa tunaenda nayo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hili nalo neno,mbona wakina museveni wanadunda tu?
Hao akina kagame na museveni wote wana soft stance kwenye mashoga yaani maneno tu apa Tanzania Makonda kafanya action na raia wakawa wanawanyanyasa dhahir. Na pia hakina maandamano ya watu, kuuliwa mmoja mmoja uku watu wamekaa majumbani wakiwa keyboard warriors bado haijawa sababu tosha ya wao kuanza kueka vikwazo na kuingilia.

Mfano tutizame nchi kama Libya, raia wakaingia barabarani na vurugu likaanza, halikusimama kwa miezi na miezi tayari wakawapa sababu mataifa ya nje kuingilia kati. Sisi hapa maandamano siku moja mabomu ya machozi siku ya pili kila mtu anaendelea na shughuli.

2015, nchi zote zilizokuwa zinautizama uchaguz wa Zanzibar zimekiri kuwa Seif ameporwa, lakini walifanya nini? Hakuna vikwazo na misaada imeletwa. Yote kwa sababu watu waliendelea na shughuli zao. Niliwahi KUSIKIA maalim wakati anahangaikia haki yake huko kwa mabeberu aliambiwa awaambie watu wake wasimame kufanya shughuli zao kwa mwezi tu basi wataingilia lakini wapi? Hakutaka kufanya ivo. Sasa hawa watu wanataka wapewe sababu ilio na nguvu ili kuweza kufanya yao, Bush alisema Saddam ana WMD ikampa uhalali wa kuingia Iraq japo alijua kuwa hakuwa nazo.

Mimi binafsi sijawahi kutia kura, wala sina kupenda chama, napenda tu kusimamia pale penye haki na ukwelu, kwenye zuri hata alifanye adui wangu nitampongeza na kusimama nae, penye uovu ata awe rafiki yangu basi nitamchana tu. Hili CCM kujipa ushindi wa kishindo kwenye maeneo ambayo hata tembo anaweza kupenya kwenye tundu ya sindano kuliko CCM kushinda ni AIBU kubwa sana kiasi kwamba hata CCM wenyewe wanatambua kuwa dhulma yao imevuka mipaka. Nafsi zitawasuta hadi kufa na hawatoweza kukaa na kuamini kuwa wameshinda hayo majimbo.
 
Hao akina kagame na museveni wote wana soft stance kwenye mashoga yaani maneno tu apa Tanzania Makonda kafanya action na raia wakawa wanawanyanyasa dhahir. Na pia hakina maandamano ya watu, kuuliwa mmoja mmoja uku watu wamekaa majumbani wakiwa keyboard warriors bado haijawa sababu tosha ya wao kuanza kueka vikwazo na kuingilia...
Kama ndo hivyo waangalizi wa kimataifa wa chaguzi wana umuhimu gani?
 
Kama ni shule ndio imeshafunguliwa, kengele ya kipindi cha kwanza imeshagongwa. Tukimbilie darasani tuketi tuanze pata somo....hehehe mwalimu ndio huyo anaingia na fimbo mkononi, tutanyooka ama tutatoroka.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama ndo hivyo waangalizi wa kimataifa wa chaguzi wana umuhimu gani?
Wanatekeleza wajibu wao tu na kutoa ripoti. Hata wakisema haukuwa wa haki basi kikubwa watu wataambiwa wasuluhishwe. Kusuluhishwa huko maana yake alietangazwa mshindi abaki kuwa mshindi na alieshindwa labda apewe viti
 
Wanatekeleza wajibu wao tu na kutoa ripoti. Hata wakisema haukuwa wa haki basi kikubwa watu wataambiwa wasuluhishwe. Kusuluhishwa huko maana yake alietangazwa mshindi abaki kuwa mshindi na alieshindwa labda apewe viti
Wanatekeleza wajibu wao tu na kutoa ripoti. Hata wakisema haukuwa wa haki basi kikubwa watu wataambiwa wasuluhishwe. Kusuluhishwa huko maana yake alietangazwa mshindi abaki kuwa mshindi na alieshindwa labda apewe viti
Basi kama ni hivyo tutegemee sarakasi za kasi zaidi.
 
Basi kama ni hivyo tutegemee sarakasi za kasi zaidi.
Kama hamna watu kuandamana hamna liwalo, maisha yatarudi kama kawaida tu. Mimi nataka CCM waache ujinga, watumie fursa hii walioipata kuelekea serikali moja kama walivotaka na zanzibar iwe mkoa yenye wabunge wa nne kutoka unguja na wanne kutoka Pemba, mkuu wa mkoa asitizamwe kwa kigezo kama ni mzanzibar bali atizamwe kama mtanzania kwaio ata we kutoka kagera anaweza kuwa mkuu wa mkoa Zanzibar yaani natamani CCM zanzibar wendelee kudhalilishwa na kukoseshwa nafasi ili sote tuelewe
 
Ushauri mzuri sana! Hata Sudan Kz kwa Bashir waliendelea kuvumilia lakini yakawashinda,wakaanza maandamano ya Amani hatimaye Mungu akasikia kilio chao na sasa Sudani Kz ni nchi mpya.
Haki ina gharama zake!
 
Sina mengine zaidi ya hayo, heading inajieleza vizuri.

Ni kweli mtakosa mapato, lakini mnaweza kujibidisha na kupata shughuli nyingine hata ikiwezekana kilimo.

Tuachieni hii miaka mitano ili tujionee wenyewe.

Msihangaike kwenda mahakamani maana huko mtapoteza fedha na muda wenu bure.

Msihangaike kuhamasisha maandamano maana police wakifyatua risasi na raia wakafa, mtalaumiwa bure!

Tuachieni miaka hii mitano tujihakikishie Kama kweli maana ya upinzani ipo kwenye vyama vya siasa au mioyoni mwa watu?

Kaeni pembeni tuone Kama kweli nyie ndio chanzo cha kukosekana kwa huduma za jamii huku kwetu?

Kaeni pembeni tuone Kama kweli nyie ndo mlikuwa sababu ya umasikini wa Watanzania wengi?

Kaeni pembeni ili wananchi waanze kufurahia maziwa na asali walivyovikosa miaka yote hiyo.

Nasema kaeni pembeni kwasababu mmejaribu kutusemea ila tumeshindwa kuwaelewa.

Haina haja ya Mmarekani na wa yuropa kuanza kutusemea! Waambieni nao watuache, tuna jambo letu miaka mitano hii.

Tena waambieni wawe wa kwanza kumpa kongole muheshimiwa kwa ushindi wake wa kishindo na madiwani na wabunge wote! Wasimseme wasije kumconfusi!

Kwa kweli mkijikalia pembeni mkaanza kufanya shughuli nyingine nje ya siasa kuanzia Leo mtakuwa mmetusaidia sana sisi wanyonge kuondoka kwenye unyonge wetu.

Mtakuwa mmetusaidia sana maana mishahara itapanda, huduma za jamii zitabireshwa, ajira zitapatikana, shule zitaboreshwa, uhuru na haki vitatamalaki na Mambo kede kede.

Msiandamane wala kulalamika lalamika ili msimconfyuzi mshindi akaanza kuloose focus na kugombana na nyie!

Muacheni na mtuache na sisi tuyaone wenyewe!

Ni hayo tu! Tanzania ni yetu watanzania, UN, USA na wengine hawawezi kutuonea huruma tusipoanza sisi kujionea huruma na hata wakituonea huruma watakuwa na jambo lao nyuma ya pazia!

Waambieni watuache tuyaone wenyewe!
Wanyamaze kabisa
 
Ukipewa nehema shukuru. Tz tulipewa nehema ya democrasia, watu wakawa wanatukana viongozi kuwa madhaifu na kadhalika. Leo tumepewa nehema ya maendeleo nayo pia tushukuru. Usipo shukuru utakufuru.
 
Sina mengine zaidi ya hayo, heading inajieleza vizuri.

Ni kweli mtakosa mapato, lakini mnaweza kujibidisha na kupata shughuli nyingine hata ikiwezekana kilimo.

Tuachieni hii miaka mitano ili tujionee wenyewe.

Msihangaike kwenda mahakamani maana huko mtapoteza fedha na muda wenu bure.

Msihangaike kuhamasisha maandamano maana police wakifyatua risasi na raia wakafa, mtalaumiwa bure!

Tuachieni miaka hii mitano tujihakikishie Kama kweli maana ya upinzani ipo kwenye vyama vya siasa au mioyoni mwa watu?

Kaeni pembeni tuone Kama kweli nyie ndio chanzo cha kukosekana kwa huduma za jamii huku kwetu?

Kaeni pembeni tuone Kama kweli nyie ndo mlikuwa sababu ya umasikini wa Watanzania wengi?

Kaeni pembeni ili wananchi waanze kufurahia maziwa na asali walivyovikosa miaka yote hiyo.

Nasema kaeni pembeni kwasababu mmejaribu kutusemea ila tumeshindwa kuwaelewa.

Haina haja ya Mmarekani na wa yuropa kuanza kutusemea! Waambieni nao watuache, tuna jambo letu miaka mitano hii.

Tena waambieni wawe wa kwanza kumpa kongole muheshimiwa kwa ushindi wake wa kishindo na madiwani na wabunge wote! Wasimseme wasije kumconfusi!

Kwa kweli mkijikalia pembeni mkaanza kufanya shughuli nyingine nje ya siasa kuanzia Leo mtakuwa mmetusaidia sana sisi wanyonge kuondoka kwenye unyonge wetu.

Mtakuwa mmetusaidia sana maana mishahara itapanda, huduma za jamii zitabireshwa, ajira zitapatikana, shule zitaboreshwa, uhuru na haki vitatamalaki na Mambo kede kede.

Msiandamane wala kulalamika lalamika ili msimconfyuzi mshindi akaanza kuloose focus na kugombana na nyie!

Muacheni na mtuache na sisi tuyaone wenyewe!

Ni hayo tu! Tanzania ni yetu watanzania, UN, USA na wengine hawawezi kutuonea huruma tusipoanza sisi kujionea huruma na hata wakituonea huruma watakuwa na jambo lao nyuma ya pazia!

Waambieni watuache tuyaone wenyewe!
Asante jambo letu limeisha
 
Sina mengine zaidi ya hayo, heading inajieleza vizuri.

Ni kweli mtakosa mapato, lakini mnaweza kujibidisha na kupata shughuli nyingine hata ikiwezekana kilimo.

Tuachieni hii miaka mitano ili tujionee wenyewe.

Msihangaike kwenda mahakamani maana huko mtapoteza fedha na muda wenu bure.

Msihangaike kuhamasisha maandamano maana police wakifyatua risasi na raia wakafa, mtalaumiwa bure!

Tuachieni miaka hii mitano tujihakikishie Kama kweli maana ya upinzani ipo kwenye vyama vya siasa au mioyoni mwa watu?

Kaeni pembeni tuone Kama kweli nyie ndio chanzo cha kukosekana kwa huduma za jamii huku kwetu?

Kaeni pembeni tuone Kama kweli nyie ndo mlikuwa sababu ya umasikini wa Watanzania wengi?

Kaeni pembeni ili wananchi waanze kufurahia maziwa na asali walivyovikosa miaka yote hiyo.

Nasema kaeni pembeni kwasababu mmejaribu kutusemea ila tumeshindwa kuwaelewa.

Haina haja ya Mmarekani na wa yuropa kuanza kutusemea! Waambieni nao watuache, tuna jambo letu miaka mitano hii.

Tena waambieni wawe wa kwanza kumpa kongole muheshimiwa kwa ushindi wake wa kishindo na madiwani na wabunge wote! Wasimseme wasije kumconfusi!

Kwa kweli mkijikalia pembeni mkaanza kufanya shughuli nyingine nje ya siasa kuanzia Leo mtakuwa mmetusaidia sana sisi wanyonge kuondoka kwenye unyonge wetu.

Mtakuwa mmetusaidia sana maana mishahara itapanda, huduma za jamii zitabireshwa, ajira zitapatikana, shule zitaboreshwa, uhuru na haki vitatamalaki na Mambo kede kede.

Msiandamane wala kulalamika lalamika ili msimconfyuzi mshindi akaanza kuloose focus na kugombana na nyie!

Muacheni na mtuache na sisi tuyaone wenyewe!

Ni hayo tu! Tanzania ni yetu watanzania, UN, USA na wengine hawawezi kutuonea huruma tusipoanza sisi kujionea huruma na hata wakituonea huruma watakuwa na jambo lao nyuma ya pazia!

Waambieni watuache tuyaone wenyewe!
Nakuunga mkono kwa asilimia zote mkuu
 
Huu ndio ushauri bora kabisa baada ya kile kinachoitwa uchaguzi wa kidemokrasia.
 
Kwa hiyo mmecopy n paste kutoka kwa Museveni sio ?.
Hujanielewa Ciril.Mtu kuanza kufanya jambo jipya wakati mwingine anaangalia kwanza anayelifanya jambo hilo anapata madhara gani.Akiona haathiriki kwa namna au nyingine na yeye anapata moyo zaidi wa kulifanya jambo hilo bila wasiwasi wowote.
 
Acha iwe hivyo.
Kama wapo wazee wenye hekima na viongozi wa dini halisia watashauri kitu. Vinginevyo tutaumia Watanzania wote mbali ya kuharibu umoja, tutatengwa na jumuia za kimataifa.
 

Similar Discussions

87 Reactions
Reply
Back
Top Bottom