Uchaguzi 2020 Upinzani, msiende mahakamani wala msihamasishe watu kuingia barabarani. Tuacheni Wananchi tuyaone wenyewe

upinzani Wa ukweli unaujua au unalopoka.
Naujuwa ila si huu wa kurupoka tu bungeni na kujipiga picha kisha kubandika Insta na Facebook ili wananchi waone kuwa unabwabwaja utumbo kama Mdee, Zitto, Lissu, Lema....wananchi tumewachoka na tumeamua kwa kishindo. Haya jiueni sasa.
 
Naunga mkono hoja:
kwanza kabisa kwa kuwashukuru wapinzani kwa kutupigania na pongezi nyingi sana kwa ccm kwa ushindi usio wa kawaida.
Ingependeza awamu wapinzan wajikite na mishe zao kwenye na kujenga vyama vyao watuache na wateule tuijenge tanzania iwe ulaya.

Naamin kabisa itafika muda hata hatutohitaji msukumo wa wapinzan na kujikuta wananchi wa vyama vyote na wasio na vyama tunaongea lugha moja.

Kumpigania mtu ambaye hayuko tayari sio rahisi na watu wengi hatujajua bado umuhimu wa upinzani bungeni. Naamin hii miaka mitano ya TANU itatufungua akili tulio wengi. Tuombe uzima tu, its just a matter of time
Watanzania hawawezi kufunguka macho hata siku moja
 
Watanzania tumekamilisha jukumu letu la kikatiba la kuweka viongozi madarakani na maisha baada ya uchaguzi yameanza.

Sasa tuchakarike na maendeleo yetu binafsi na ya taifa letu tukijua maendeleo hayana chama. Wenzetu wa upinzani sasa tuungane na tushirikiane katika masuala yote yanayogusa maslahi yet bila kujali itikadi ya vyama vyetu.

Kwenye hatua ya maendeleo ama wote tunashinda au wote tunashindwa. Kwa mfano, Tanzania ilipotangazwa kuwa nchi ya kati, wote tulishinda katika ngazi hiyo. Tukubali uchaguzi umeisha.

Ni kweli kibinadamu wengine watakuwa wameumia baada ya matarajio yao kutokufikiwa. Hili ni jambo la kawaida. Tujipe siku mbili tatu hali yetu itarudi kawaida na tuendelee kuchapa kazi. Mungu ibariki Tanzania.
MUNGU HUYU HUYU?
 
Mb
Kama wapo wazee wenye hekima na viongozi wa dini halisia watashauri kitu. Vinginevyo tutaumia Watanzania wote mbali ya kuharibu umoja, tutatengwa na jumuia za kimataifa.
Mbona china au uarabuni hawajatengw, hata rwanda tu hapa?
 
Na kikubwa ni kuwamark hao mafisi ccm ole wake mtu akilalamika vyuma vimekaza unampa chuma cha kichwa hasa polisi
 

Similar Discussions

87 Reactions
Reply
Back
Top Bottom