permanides
JF-Expert Member
- May 18, 2013
- 9,971
- 11,149
Ila mawazo yao ndio yaliyofanyiwa kazi na serikali, sasa wale ambao kazi yao ni kupiga makofi ndio tuseme wanasaidia nini?Upinzani inabidi wasome alama za nyakati tu kwa sasa, hapa Tanzania hatuna upinzani wa ukweli ni kelele tu zisizo na tija. Mtu anakwenda bungeni kupiga kelele na kuleta bifu ili aandikwe mitandaoni lakini hana msaada wowote jimboni kwake, mfano Halima Mdee, Sugu, Zitto Kabwe, Lissu, na wapuuzi wengine. Tunataka upinzani wa ukweli hapa Tanzania.