Upi ni ukweli kuhusu bara la Atlantis

Malaika hawana jinsia kwahiyo hawakuumbiwa program ya uzazi ktk bongo zao. Ni viumbe wa dunia hii pekee ndio waliumbiwa program ya kuzaana, na program hii ni ya mda tu baadae huondolewa. Imeandikwa kule mbinguni hakuna kuoa wala kuolewa, mtaishi km malaika... Maanake malaika hawazai na hawana uwezo huo, sanasana wanafanya mazingaumbwe mbele ya binadamu kwasababu tuko chini ya utawala wao hapa duniani... Sasa nini kilitokea baada seluthi (1/3 )moja ya malaika kuasi mbinguni? Mungu alimtahadharisha Adam na mkewe kipi cha kujihami nacho... Shetani na malaika zake wakamtumia Eva kwa udhaifu wake wa kibinadamu... Km Eva angekataa shetani angekuwa mbali na sayari dunia leo. Eva alikubali ndo ukawa mlango wa shetani kuwa mtawala badala ya adam, ikabidi afukuzwe bustanini waende waishi kwa shida.... Kuwakomboa mikononi mwa shetani ilihitajika afe yule yule aliekwepo kwenye uumbaji. Ndo maana shetani alipomjaribu yesu alimwambia nitakupa fahari hizi zoote unisujudu kidogo tu. Maanake alimshawishi aachane na mpango wa kuwakomboa uzao wa adam. Hilo alishindwa, ukombozi ukafanyika likabaki swala moja tu kuwa ni binadam ndo mwenye jukumu la kuamua kumkubali, kumwamini na kumfuata huyo mkombozi.
soma mwanzo vizuri naona
 
m
Mkuu
Sema taafifu na omba toba kwa Mungu kwa hilo ulilosema hapo juu malaika hawalali wala kupumzika kukulinda ww hafu unasema hawawasaiidii?
Naomba usome elimu ya Malaika makundi yao na mgawanyo wa kazi then ufahamuMapepo yanaletaje utamu wa dunia?????
Kupitia teknologia hakuna watu walio wahi kuwaona malaika, malaika ni roho haonekani, ila huonekana kwa watu wenye imani thabiti kwa mpango maalumu. Wengi wenye imani wametokewa na malaika!!!!?
[/QUOTE]
alaika anakesha anakulinda??? kwahiyo wale madiwani wanaopigwa mapnga malaika wao wanazidiwa nguvu au? imani nyingine zinachekesha sana
 
uliwaona wapi kama hawana au wanazo
maswali mengi sijui niyaite ya kitoto au vipi..we kitu imefundishwa katika dini alafu unaanza kuuliza ugoro apa...huyo Yesu nani alimuona??.lakini watu wanaamini alichokileta dunian...soo jaribu kuuliza swali la maana ndugu
 
maswali mengi sijui niyaite ya kitoto au vipi..we kitu imefundishwa katika dini alafu unaanza kuuliza ugoro apa...huyo Yesu nani alimuona??.lakini watu wanaamini alichokileta dunian...soo jaribu kuuliza swali la maana ndugu
yesu watu wamemuona na wamekula nae.amezaliwa na binadamu na ameishi na amesulubiwa.nani aliyemuona huyo malaika kama ana jinsia au hana.eti anakesha anakulinda basi kungekua hakuna haja ya walinzi,yani rais angetembea tu mwenyewe maana ana malaika wanakesha wanamlinda.imani nyingine zinahitaji kujichetua akili kidogo
 
yesu watu wamemuona na wamekula nae.amezaliwa na binadamu na ameishi na amesulubiwa.nani aliyemuona huyo malaika kama ana jinsia au hana.eti anakesha anakulinda basi kungekua hakuna haja ya walinzi,yani rais angetembea tu mwenyewe maana ana malaika wanakesha wanamlinda.imani nyingine zinahitaji kujichetua akili kidogo
tatizo umefichwa mengi kuhusu dunia na mbingu na vitu vilivyozijaza..kama hutaki kujifunza endelea kudhani watu wamejichetua akili..elimu ipo nyingi tuu.soma kwanza uelewe dini yako vizur kama wewe ni mkristo.alafu tafuta shehe akufundishe kuhusu uislamu..dini zote zinaamini kupitia IBRAHIM BABA WA IMANI.hivyo chukulia hapo kama mwanzo wako wa kujifunza...utanikumbuka kama kweli ukifanya nlivtokuelekeza...tafuta kujifunza .usitafute kukashifu dini za wenzio .hata ukikuta wanaabudu ngombe na wewe hutaki kumuabudu basi usiwatukanie ngombe wao .jiulize ni kwa nini hawa watu wanaabudu ngombe??...na maswali mengine kama hayo.soo jitume sana mkuu.elimu iko bure bure mitaani.nafkiri ata hapo nje kwako kuna mwalimu aweza kukuelimisha zaid...
malaika waliwatokea manabii wa zamani.mfano Suleiman alikua anakutana na malaika wakifo mara kwa mara.na mfalme Suleimani alijifunza mengi kupitia malaika yule..
mwingine ni Mtume wa mwisho MUHAMMAD..yeye alikuwa anatembelewa na malaika Jibril /Gabriel enzi za uhai wake.hivyon ni wazi siri kama hizi nilazma mitume hawa wangezijua...Malaika hawali chakula..hivyo hawaendi chooni pia..chukua hayo nlokuambia kayafanyie kazi utapata mengi zaid.hapa kuandika siwezi.koz ni kurasa na kurasa za kutosha
 
Nakumbuka nilipokuwa Mwenge Sec (Singida) mwaka 1972 nilipendelea sana kusoma vitabu vya Erich von Däniken. Huyu mwandishi ameandika vitabu kadhaa vinavyohusu Atlantis. Kitabu nilichokirudia rudia na hadi sasa nakikumbuka ni Chariots of the Gods? na vitabu vingine. Ni muda mrefu sana umepita na hiyo ilikuwa shauku ya ujanani ingawa kwa sasa siamini tena haya masuala. Tafuta vitabu vya huyu Erich von Däniken ameeleza sana kuhusu "extraterrestials" ambao waliitembelea dunia zama za kale. Na nadhani kwa zama hizi za utandawazi inawezekana kuna video zake youtube pia; kwa sababu ameshatengeneza DVDs na vipindi (documentaries) kadhaa vya television.
Nyie watu wazima mlitakiwa mtumie real Id na pia mtumie hekima, busara, akili nyingi na ushawishi pamoja na hoja iliyojaa mifano kuntu ktk kujibu hoja. Bila hivyo mtaishia kutukanwa na watoto wa miaka 1990's
 
nafikiri hizi ni hekaya tu. ni kama hekaya za uwepo wa El Derado, mji uliojengwa kwa dhahabu na kujaa dhahabu kupindukia. wazungu wengi walipoteza maisha wakiutafuta.
 
tatizo umefichwa mengi kuhusu dunia na mbingu na vitu vilivyozijaza..kama hutaki kujifunza endelea kudhani watu wamejichetua akili..elimu ipo nyingi tuu.soma kwanza uelewe dini yako vizur kama wewe ni mkristo.alafu tafuta shehe akufundishe kuhusu uislamu..dini zote zinaamini kupitia IBRAHIM BABA WA IMANI.hivyo chukulia hapo kama mwanzo wako wa kujifunza...utanikumbuka kama kweli ukifanya nlivtokuelekeza...tafuta kujifunza .usitafute kukashifu dini za wenzio .hata ukikuta wanaabudu ngombe na wewe hutaki kumuabudu basi usiwatukanie ngombe wao .jiulize ni kwa nini hawa watu wanaabudu ngombe??...na maswali mengine kama hayo.soo jitume sana mkuu.elimu iko bure bure mitaani.nafkiri ata hapo nje kwako kuna mwalimu aweza kukuelimisha zaid...
malaika waliwatokea manabii wa zamani.mfano Suleiman alikua anakutana na malaika wakifo mara kwa mara.na mfalme Suleimani alijifunza mengi kupitia malaika yule..
mwingine ni Mtume wa mwisho MUHAMMAD..yeye alikuwa anatembelewa na malaika Jibril /Gabriel enzi za uhai wake.hivyon ni wazi siri kama hizi nilazma mitume hawa wangezijua...Malaika hawali chakula..hivyo hawaendi chooni pia..chukua hayo nlokuambia kayafanyie kazi utapata mengi zaid.hapa kuandika siwezi.koz ni kurasa na kurasa za kutosha
Eti alikuwa anatembea na malaika Mtume si alioa katoto ka 8 years kumbe gavriel naye anapenda fantacies
 
Umewaza ,halafu km kweli?
Maana wazungu hawashindwagi neno...lakini neno la bermuda linawashinda sana... na jibu madhubuti la hili bara la atlantis bado hawana la kueleweka..
sasa kuna hizo taarifa za kuwa hilo bara la atlantis waliishi Giants ambao walikua very far kwa teknolojia .. na nguvu za kiungu kuliko hapa tulipo...

sasa tukijumlisha hayo mambo na ya Bermuda triangle ambako ni sehemu kubwa ya pembe tangu inatosha kabisa kuwa mji mkubwa sana, na hizi mambo za kuwa meli,ndege pamoja na watu wake wote wanapoteaga hapo katika mazingira ya kutatanisha. Na kuhusu hilo pia hawajapata jibu la uhakika..

sasa kwa akili zangu hapo ndo nnapounganisha hizo vitu kuwa basi huo mji/bara lilididimizwa hapo na limekua traped na kutokana na teknolojia walizokuaga nazo basi ndizo zinasababisha vitu vyetu vishindwe kuhimili vipotelee hapo
 
Acha hiyo kuna hekaya ya machimbo ya suleiman ya almas congo,nayo walipambana sana ,kama wazee wa sarafu ya mjerumani
zikozenye ukweli na zisizo na ukweli na tunazoshindwa kuzipata kwa sababu hatuna upeo wala vifaa wala maarifa ya kusolve mafumbo yao..

Mkuu ukishindwa jambo haimaanishi kila mtu kashindwa...
mnaweza kushindwa hata watu 10,000,000 kufanya jambo halafu akaja mtu mmoja akaweza...

Ndio maana watu wanaweza kupigana vita iliyowashinda watu wengine tena maelfu na wakashinda kwa sababu siku zote ushindi upo.. na lisemwalo lipo kama halipo laja...
Tusipuuze tuyasikiayo yanaweza kuwa akiba ya kesho ... sawa mpenzi?
 
Back
Top Bottom