zitto junior
JF-Expert Member
- Oct 7, 2013
- 19,048
- 28,696
Kama title inavyosema kwa wajuvi wa mambo humu JF je upi ni ukweli kuhusu historia kwamba kulikuwa na bara linaitwa atlantis lililoongelewa na mwanafalsafa wa kigiriki Plato kwamba lilikuwa na teknolojia kubwa kuliko hata ya sasa ila lilipotea kutoka uso wa dunia maana ilidaiwa lilikuwepo kati ya bara la ulaya na amerika kaskazini je ni kweli hili bara lilikuwepo ??? Na kma lilikuwepo limeenda wapi???
Ahsanteni
BAADHI YA MAJIBU
Ahsanteni
BAADHI YA MAJIBU
atlantis inasemekana ni bara ambalo lilipotelea baharini mamilioni ya miaka iliyopita, iyo idea aliianzisha plato lakini wengi hawakumuelewa walimbeza na kumuona kama kachanganyikiwa,
lakini baadhi ya wanasayansi waliyafanyia kazi mawazo yake na kuanza kulitafuta bara ilo bila mafanikio hatimaye january ya mwaka 2017 mwanasayansi prof lewis ashwal wa witwatersrands university south afrika aligundua bara kubwa chini ya bahari ya hindi karibu na kisiwa cha mauritius aliloliita mauritia.
alipochukua vipande vya mawe kutoka bara ilo lililo chini ya bahari ya hindi aligundua yale mawe yenye madini ya zircon yana umri wa miaka bilioni tatu, then akachukua mawe katika kisiwa cha mauritius ambacho kimetokana na volkano akagundua yana umri wa miala milioni9 ilo bara lina umri mkubwa kuliko mauritius na ata bahari zote akahitimisha kwa kusema ilo bara lilitokea kipindi gondwana inasplit apart kuunda continents tulizonazo leo. so plato alikua sahihi kusema kulikua na bara na kingdom kubwa iliyopotelea baharini.