Mchochezi
JF-Expert Member
- Feb 29, 2012
- 11,451
- 9,967
Maandamano yamepangwa kufanyika usiku kwa usiku kama njia mbadala. Hii itasaidia sana
u.tu.mb.o
Maandamano yamepangwa kufanyika usiku kwa usiku kama njia mbadala. Hii itasaidia sana
Stupidity is confirmed when you talk nonsense. Kajifunze historia halafu uniambie ni nchi gani ambayo imeendelea ambayo haikupitia harakati za maandamano au mapigano ili kuondoa dhuluma, kupigania haki au demokrasia.
Ni kweli kamanda unawezakuta amefanyiwa kitu mbaya...
nauliza tu na ben saanane + yericko walikuwepo???!!! kwi kwi kwiKamanda wa Anga Mhe. Freeman Mbowe ameshayoka baada ya kumaliza mahojiano na polisi ccm..
Polisi wa tanzania ni watu wa ajabu sana... hivi aliyesema ataandamana leo nani? Mbowe kwenda kuhojiwa polisi ndio kuandamana?
tuambieni gharama za kuwazuiabwatubwalio msindikiza Mbowe polisi nibkiasi gani na je mmetenga kiasi gani ya kuzuia maandamano ya nchi nzima...
u.tu.mb.o
wapigwe tuuu
Kajifiche Mirembe.Nafikiri watanzania wapend amani wataniunga mkono kwa hili.kitendo cha mwenyekiti wa chadema mh.mbowe kuitisha maandamano nchi nzima kinastahili kulaaniwa na kila mpenda amani kwani kina weza kusambaratisha umoja wetu kama watanzania.wengi tunajua madhara ya maandamano yasiyokuwa halali.endapo utapata madhara chama kitatoa laki mbili au tatu baada ya hapo hutapata chochote na familia yako ikiachwa ikihangaika.chonde chonde mbowe usituchafulie nchi.na pia nawaomba vijana wenzangu tusitumike kama kondomu.