Updates za yanayojiri kwenye Maandamano ya CHADEMA

Updates za yanayojiri kwenye Maandamano ya CHADEMA

jiji lipo shwari kabisa hakuna tatizo lolote, maandamano yapo kwenye keyboards tu
 
Ngoja tuone kama kweli ubabe wa CCM utafua dafu katika hili.
 
Cheap mind.... Mitoto shule inakariri tu notes wakitegemea wakipata videgree vyao wakaajiriwe BOT na TRA. Unadhani TRA itaajiri graduates wote?? Toto lina GPA ya 4.5 amesoma small business & entrepreneurship pale UDOM liko nyumbani linatafuta ajira serikalini hili pia unalaumu ccm??

Mkuu umetoa wapi hili la watoto shule kukariri notes, je watoto wako ni mfano au we mwenyewe,,,!!!

Halafu hiz lugha za "lina GPA" ni ustaarabu gani,, ajabu na ww unajiita GT!!
 
Aliyekula rushwa ya tsh 1bn mama Tibaijuka anapeta tuu mtaani na viunga vya bunge,polisi wala viunga vyombo vya dola havimshughulikii.Wanaopinga ufisadi ndiyo wanapigwa na polisi.Tanzania kiboko.Ukiuliza utaambiwa fuata sheria jee kwenye kuiba fedha sheria inafuatwa?
 
Wahuni wa kichaga mnaleta fujo mkipigwa msitafute pa kukimbilia.

Mnahamasisha fujo nyinyi wenyewe.
 
Wameshatuelewa huoni wameacha kila kitu wapo na sisi Chadema. Tumeanza na Mungu tupo na Mungu natutamaliza na Mungu
 
Polisi wanasaidia ukombozi na watanzania wameshatambua ni ccm.

Unapoiona ccm umeona polisi na unapoona polisi umeona ccm
 
Wabunge wa Katiba ni zaidi ya Majambazi... Cha Kushangaza Hadi Mashehe na Wachungaji wamo... Shetani awe juu yao
 
Officially maandamano yanaanza lini?? Hadi lini??

Kwa Dar yanaanzia wapi had wapi??
 
Mwenyekiyi wa Chadema anakaribia Makao Makuu ya Polisi muda mfupi atakuwa anaingia hapo. Police wameanza kukamata watu waliojitokeza kumsindikiza Mwenyekiti. Huku waandamanaji wanapambana na askari wa FFU vikali. Mji mzima ni balaa.
View attachment 186126



attachment.php


Dodoma Maandamano ya kupinga Bunge la Katiba
attachment.php

attachment.php

Huku kwetu shwali salaama kabisa, hakuna maandamano, mabomu, wala kelele. Tunaendelea na kazi ya ujenzi wa taifa maana nchi hii itajengwa na sisi wenye moyo, itavurugwa na chadema, na kuliwa na mafisadi
 
songeni mbele makamanda hakuna kurudi nyuma
tupo pamoja kamanda hakuna dhambi kubwa kama woga hatuogopi hawa polisi wa ccm tutazidi kusonga mbele muda wa ukombozi umeshakaribia.
 
Ule moto waliokuwa nao wafuasi na wanachama wa chadema leo umepoa kuliko wao
walivyopanga awali. Kwanza Mbowe alichukuliwa akaingia ndani, kisha wale wafuasi
na wanachama walioandamana nae wakapotea mmoja mmoja.......

Hii ndio Tanzania, hakuna aliyejuu ya Sheria. Jeshi la Polisi tunawapongeza kwa kazi nzuri
ya kulinda raia na mali zao.

IMG_9909.jpg

Baadhi ya wanachama wa Chadema wakiondolea ndani la eneo la Makao Makuu wa Chadema.
IMG_0200.jpg


Huyu alikuwa akikaidi amri ya Jeshi la Polisi ilibidi aondolewe kwa nguvu.
 
Maandamano yamepangwa kufanyika usiku kwa usiku kama njia mbadala. Hii itasaidia sana
 
Watanzania tuwe makini, tusidanganyike kitoto kwa faida ya watu wengine....
 
Back
Top Bottom