Updates za yanayojiri kwenye Maandamano ya CHADEMA

Updates za yanayojiri kwenye Maandamano ya CHADEMA

Baada ya presha kubwa na mbinu za polisi kuwekwa hadharani mpango wao mzima wamesalimu amri na kumwacia Mbowe kwa kujidhamini ......sasa anaenda kutoa kauli kwenye makao makuu ya Chadema .....

Kwisha habari yake
 
Tulia mama uandike vizuri siyo unakurupuka tu kama shangingi lililopigwa kimoja...

Wewe bila chadema ungekuwa na ajira tahira wewe....kuajiriwa kwako kuitukana chadema ni bora sasa ushukru chadema ungesha kufa njaa pumbavu wewe...

Wewe si muuza chupi mwenzao aka shangingi mwenzao hawana cha kukufanya sana sana mnaeweza kupanga dili za kusambaza bangi...

Duh! vijana wanaotegemewa magogoni 2015 yangu macho.
 
Ofisi mbalimbali za Chadema nchi nzima hususan za wilaya na majimbo zimewasilisha barua za taarifa kwa Jeshi la Polisi, kama Sheria inavyosema, za mikutano mfululizo na pia kuomba vibali vya maandamano ya kupinga ufisadi unaofanyika Dodoma kupitia kile ambacho CCM na wapambe wao wanaita ni Bunge Maalum la Katiba na kupinga uchakachuaji wa maoni ya wananchi unaofanywa na CCM na mawakala wake Mjini Dodoma.

Itakumbukwa kuwa mikutano mfululizo na maandamano ya amani yasiyo na kikomo lilikuwa ni Azimio la Mkutano Mkuu wa Chama Septemba 14, mwaka huu kwa ajili ya kupinga ufisadi na uchakachuaji unaofanywa dhidi ya rasilimali za taifa na maoni ya wananchi kwenye Katiba Mpya.

Maeneo karibu yote nchi nzima kwa maelekezo ya Ofisi za Kanda wanaChadema Wametuma hizo barua kwa mujibu wa sheria za nchi wakitaka kutumia haki na wajibu wao wa kikatiba kupinga ufisadi na ukandamizaji wa watawala.

Taarifa zilizopo ni kwamba maeneo ambayo polisi wamezuia kwa matamko yasiyokuwa na msingi wa kisheria wala uhalali wa kisiasa yamewasiliana na Makao Makuu ya CHADEMA kusubiri maelekezo ya hatua za kuchukua kuhakikisha haki inapatikana.

Hadi sasa Polisi wamedhihirisha kutumika kisiasa kuibeba CCM na kubeba ufisadi na uchakachuaji unaofanyika Dodoma dhidi ya wananchi.

Huko Arusha tayari tamko la maandamano limeshatolewa na uongozi wa Mkoa na yataanza saa 5 asubuhu kuanzia Phillips hadi Uwanja wa Samunge.

Huko Sumbawanga, Rukwa wananchi wako tayari. Wanasubiri maelekezo ya Makao Makuu ya Chadema mara baada ya OCD kushindwa hata kujibu barua yao wanachadema waliotaka kuandamana leo.

Hadi muda huu kikao kinaendelea kati ya Jeshi la Polisi na viongozi wa CHADEMA mkoani Rukwa huku polisi wakijikanyaga kuhusu barua ya majibu wanayotakiwa kutoa kujibu barua za CHADEMA.

Hali ni hiyo hiyo huko Kanda ya Ziwa Mashariki ambako wilaya zote za kanda hiyo zimepeleka barua za taarifa za mikutano na pia kuomba vibali vya maandamano. Bariadi Mjini na Vijijini wananchi wako tayari kuandamana Septemba 23.

Shinyanga Mjini na Vijijini wako tayari kwa maandamano yatakayofanyika Jumamosi.

Dodoma kumechemka. Joto ni kali. Wananchi wamejipanga kuzuia kiini macho cha Bunge Maalum la Katiba kinachoendelea Dodoma kwa mwamvuli wa CCM na Serikali yake.

Polisi wamelazimika kufunga barabara ya Morogoro-Mwanza inayopita eneo la Bunge kwa ajili ya kunusuru walioko bunge wakitafuna rasilimali za Watanzania wanyonge na kuchakachua maoni kwa manufaa ya CCM.

Wananchi walipanga kukutana Nyerere Square kuanza maandamano kuelekea Bungeni kupeleka ujumbe mzito kwa wahusika.

Polisi kwa maelekezo ya Kada Mwandamizi wa CCM mkoani humo, Rehema Nchimbi wakakakusanyika eneo la kuanzia maandamano tangu saa 11 alfajiri. Wakaanza kamata kamata...

Huko Mpwapwa wamemkamata Mwenyekiti wa Chama Fabian Moke akiwa ofisini kwake kwa sababu tu alipeleka barua ya taarifa ya mkutano na kibali cha maandamano.
 
Kamanda wa Anga Mhe. Freeman Mbowe ameshayoka baada ya kumaliza mahojiano na polisi ccm..
tafadhari sana kamanda, afya yake ihakikiwe na madaktari wanaoaminika , sina imani na jeshi la polisi .
 
Sasa mkuu waandish wa habar wamewakosea nn??
Huyo polisi aliyempiga wa Dailynews ningempata ningempa Zawadi maana ni waongo sana, atafutwe wa jambo leo, habari leo , uhuru na yale magazeti yafFreemason na Illuminatt ....
 
Kuwakamata wanachama na kuwaweka kwenye makarandinga yao,ili baadae wawashitaki kuwa waliandamana bila kibali au walikusanyika bila kibali,

Haijaanza leo,kubeba mbwa,mabomu,risasi dhidi ya wanachadema ambao hata jiwe tu hawakubeba ccm wajiandae kuhama uchaguzi ujao,

Hatutalala!!!!!
 
Hata darsani koama mwalimu anafundisha alafu wewe unaleta masihara yako utatoka na zero tu, vivyo hivyo katika maisha ukitumia muda mwingi kutafakari juu ya maisha ya wengine badala ya kuangalia yako utaishia pabaya, sasa vijana wengi wanafikili ikitawala chadema ndio ajira zitapatikana kwa wingi ni upuzimtupu.maisha yako yako mikononi mwako wala sio kwa mbowe walalDr Slaa, hata JK ana nafasi ndogo sana katika maisha yangu,mtajunjwa miguu alafu iwe ndio mwisho wa maisha yako na familia inayokutegemea .

1.Hakuna muda mwingi uliotumika kutafakari maisha ya "wengine", muda uliotumika ni kutafakari hali ya uchumi wa nchi ukilinganisha na rasilimali zilizopo, jumlisha na umri wa nchi tangu ipate uhuru. So, stop bluffing!!!!!

2. Hakuna anaefikiri ikitawala CDM, CUF, NCCR, au hata ACT ajira zitapatikana. Isipokuwa nnachofikiri vijana hawa wamepewa matumaini na sera za vyama tajwa; Labda nikuulize unakumbuka the so called mabilioni ya JK? Unafaham nini kilichojiri kwenye hayo mabilioni? Ukiwa unatafakari kuhusu hilo nipe mafanikio au ufanisi wa,
(a) Kilimo kwanza.
(b) MKURABITA
(c) MKUKUTA!!
Again usipende kuota ndoto za mchana!!

3. Nakubali maisha ya mtu yeyote yako mikononi mwa muhusika, nakataa hoja yako juu ya kile ulichoita nafasi ndogo ya kiongoz.
Umetoa wapi hili, hujui kiongoz ni muongoza njia anapaswa kuweka mazingira rafiki kwa wanaopita njia,,

Je, huelewi familia ambayo baba kama kichwa ikikosa maelekezo au mashauri mazuri toka kwa baba itayumba!!
 
Back
Top Bottom