Updates za yanayojiri kwenye Maandamano ya CHADEMA

Updates za yanayojiri kwenye Maandamano ya CHADEMA

Mbowe anafanya siasa za kitoto sana, kwa akili yake ndogo hapo anafurahi kuwa umaarufu unaongezeka.

Hili nalo ndiyo faaaaaaala,yaani bure kabisa.Umaarufu huwa unatafutwa mara mbili?ngoja watu wawakomalie wabaka demokrasia na policcm yao
 
[h=2]Wapigwe tu ya Pinda, sasa ifanye kazi.[/h]
Natoa wito maalum kwa jeshi la polisi nchini na dola kwa ujumla, kuwa wahuni watakaoandamana na kuleta vurugu popote hapa nchini wapigwe tu. tumechoka. wafinywe ipasavyo...hii ni cheap politics kucheza na maisha ya watu. Washughulikiwe.​

Hivi kumbe hili lilikuwa na maana yake kuwa wapinzani ndio wapigwe?waulize William Ruto,Uhuru Kenyata,Arap sang wanajuta huko the hague.
 
Hakika huko sawa mleta mada sie tumetulia tuli majumbani lakini ujumbe wa nini tulitaka kikiwakilisha kwa wananchi kimesambazwa vema na akina CHAGONJA na wenzie.
 
ushabiki wa kijinga kweli huu, sasa mbowe kwenda makao makuu ya polisi nayo ni breaking news???
 
Hakuna sehemu Dodoma yenye miti barabarani kama hivo... Post ya kipuuzi na kichochezi hii
 
Wapigwe tu ya Pinda, sasa ifanye kazi.

Natoa wito maalum kwa jeshi la polisi nchini na dola kwa ujumla, kuwa wahuni watakaoandamana na kuleta vurugu popote hapa nchini wapigwe tu. tumechoka. wafinywe ipasavyo...hii ni cheap politics kucheza na maisha ya watu. Washughulikiwe.​

Hata pik botha wa afrika kusini alisema na kuandika hayo uliyoandika lakni ukombozi ulipatikana, watoto watu wazima maarufu steve biko, chirs hani, etc na wakaida waliuawa lakn UKOMBOZI ULIPATIKANA, kama mnataka njia hii tupitisheni tu.
 
Ilo neno la mwisho ndio sahihi, nchi nzima inatamka Mh. Mbowe kwa nini umarufu usiongezeke, wakati ccm imejaza majinga mengi kama wewe hamuwezi kuona kwa jicho la tatu, mnaendekeza njaa na shule zenu mlizo soma za ngumbalu
Mbowe anafanya siasa za kitoto sana, kwa akili yake ndogo hapo anafurahi kuwa umaarufu unaongezeka.
 
Maranyingi tumeona polisi wakienda na mbwa kuzuia maandamano Au mikusanyiko ya vyama vya siasa. Hivi kuna umuhimu kweli wa kwenda na mbwa katika matukio ya namna hii?
 
Wamemsindikiza?

Ukosefu wa ajira huu kwa vijana bado ni janga...!

Siku za kazi, badala ya kusaka noti wewe unamkingia kifua mwanaume mwenzio?
 
Mbona wenyeviti wa vyama vingine wakiitwa wanaenda kwa amani, kwanini asiende aliyeitwa peke yake??? Wenye kimbelembele cha kwenda wasikoitwa ni haki yao kuchezea virungu....
 
Dah! huyu mama kaingiaje hapa maskini....
Ndugu yangu duniani ukifanya mambo ya kijinga au kutamka maneno ambayo Mwingine anayaona ni ya kijinga basi ujue Mama yako atatukanwa sababu itaonekana hukulelewa malezi mazuri na mama yako
 
Polisi wetu wenyewe huwa wakitumwa wanaenda tu bila hata kujiuliza je wanachotumwa kufanya kiko sahihi?
 
Back
Top Bottom