MUSSA ALLAN
JF-Expert Member
- Oct 13, 2013
- 18,925
- 13,280
yes mkuu, na u-jobless wao umesababishwa na serikali dhaifu ya chama cha mapinduzi.
Mafanikio ni juhudi binafsi za mhusika. Sasa muda wa kazi badala ukatafute fedha wewe unaandamana na wahuni halafu unailaumu serikali.