Live coverage on JamiiForums
Maombiii yenuuuu nasiki weziiiiiiweziiiihaooooo sijuii naoo wamekuja na kimbunga chaooo duh..yaan atujalala na wengine wako kikazi na gizaaa tanesco
 
Hivi Mungu hawezimkukielekeza kwa watesi wetu?
Wanaodhulumu miradhi?
Wanadhulumu mari za wafiwa[wagane na wajane]?
Mungu hawezi kuelekeza kwa watu waliojaza damu za watu mikononi mwao?
Mungu anaona CAG report? Hawezi fanya jambo?
Akili za kitoto hizi unadhani Mungu ni mwanasiasa?
 
gaxetilaleooo hekahekaa za hidayaa
Hawawatakuwa wamepigika sana na hidayaa
 

Attachments

  • Screenshot_20240504_050325_WhatsApp-735x950.jpg
    Screenshot_20240504_050325_WhatsApp-735x950.jpg
    164.2 KB · Views: 2
Arusha, Kuna mwaka 2019 mwishoni nadhani au 2020 mwanzoni. Nilishuhudia upepo mkali plus vumbi mpk hamuonani, barabarani bila taa hutembei.
Ilikuwa ni mchana vile lkn pakawa kama jioni… sitamani kushuhudia hicho kitu tena
Aisee shukuru sana Mkuu

Tokea nizaliwe sijawahi shuhudia upepo mkali kama huu unaoendelea tokea jana jioni, nipo kitandani hapa hadi kitanda kinatikisika, can u imagine

Allah atuvushe tu

Location visiwani
 
Back
Top Bottom