Princess Tee
Member
- Apr 2, 2012
- 60
- 16
Wapendwa sio wote ambao tupo karibu na TV zetu kufuatilia mjadala unaoendelea bungeni leo.
Bahati mbaya hakuna uzi ambao unatoa updates. So tunaomba walio karibu watujuze badala ya kila mtu kuanzisha uzi wake bahati mbaya moderateur sijui hawajaona maana wameziachia tu bila kuziunganisha so inakuwa ngumu kufuatilia.
Asanteni
Bahati mbaya hakuna uzi ambao unatoa updates. So tunaomba walio karibu watujuze badala ya kila mtu kuanzisha uzi wake bahati mbaya moderateur sijui hawajaona maana wameziachia tu bila kuziunganisha so inakuwa ngumu kufuatilia.
Asanteni