Balantanda
JF-Expert Member
- Jul 13, 2008
- 12,484
- 4,821
- Thread starter
- #821
Mpira umekwisha.....
Yanga 5:0 Coastal Union
Yanga 5:0 Coastal Union
Taratibu mtani..........Michezo si uadui zaidi ya utani...
Punguza munkari mtani...
Mpira umekwisha.....
Yanga 5:0 Coastal Union
Yanga ipo tangu miaka ya 1930 hao magamba yameanzishwa 1977,nakushangaa unapiga kelele wakati hujui unachokiongeasasa we unafikili hayo MAGAMBA kuna mtu anayafagilia?????. Kama mi ni zama za Kaseja itakuwa wewe zama zako bado, kakue kwanza.
Ni kweli bado mbichi ndo maana nawashangaa mnaosema kipofu kaona mwezi.....lol
Goal difference?...mpaka sasa Yanga wana magoli mengi ya kufunga(12) ukilinganisha na Simba(10)
Yanga ipo tangu miaka ya 1930 hao magamba yameanzishwa 1977,nakushangaa unapiga kelele wakati hujui unachokiongea
Hata mwaka jana ilikuwa hivihivi na mwishoni bingwa alijulikana....
Kama sisi vipofu,hao wanaoona mpaka sasa ushindi wao mnono ni wa goli ngapi?huyu coastal mwenyewe mlimpiga kamoja kakichooovu....anyway tunasubiri kushuka daraja kama wengi walivyotabiri!sawa ligi bado mbichi ila idadi ya magoli ndio inayopelekea kusema kipofu kaona mwezi. Hongereni!
Tell him!Hapana mkuu.....Yanga kuna mechi walishinda 3-2......Ni magoli mengi haya......Simba mechi waliyofunga magoli mengi ni ile waliyotoka sare ya 3-3 na Toto Africans na mpaka sasa Yanga wana magoli mengi ya kufunga(12) ukilinganisha na Simba(10)
Wanajangwani hongereni lakini msijisifu sana, wachezaji watano wa kikosi cha kwanza wa Coastal wametorokea uarabuni kucheza ligi ya mafuta, hivyo huenda ni sababu iliyofanya wapigwe goli nyingi kiasi hicho.
Waambie hao,kijiba cha roho watu wa pwani wanasema.Kama sisi vipofu,hao wanaoona mpaka sasa ushindi wao mnono ni wa goli ngapi?huyu coastal mwenyewe mlimpiga kamoja kakichooovu....anyway tunasubiri kushuka daraja kama wengi walivyotabiri!
Huwa sipendi kabisa kulihusisha chama hili YASC na magamba.Yanga ipo tangu miaka ya 1930 hao magamba yameanzishwa 1977,nakushangaa unapiga kelele wakati hujui unachokiongea
Wakuu: status ya VPL kwa sasa hikoje aisee!!
mechi za leo tarehe 08-10-2011 ni:
coastal union 6 : Villa 1
jkt oljoro 1 : Moro 0
afican lyon 0: Kagera sugar 1
jkt oljoro wanaongoza ligi kwa kufikisha pointi 19 wakifatiwa na simba mwenye pointi 18