Updates: VodaCom Premier League 2009/2010

Updates: VodaCom Premier League 2009/2010

TIMU GANI ITAKUWA BINGWA WA LIGI KUU TANZANIA BARA(Vodacom Premier League)


  • Total voters
    72
  • Poll closed .
Acha kukalili.
Mkuu hilo mbona linajulikana dhahiri kwamba Coastal Union a.k.a Wagosi wa kaya wana uswahiba na Simba kama ilivyokuwa uswahiba wa Yanga na African Sports 'wanakimanumanu' ama Toto Africans 'wanakishamapanda'
 
Ahaaa, usinikumbushe machungu kiongozi: ubingwa wa kuzidiana gori moja!!!! Ilikuwa balaaa.
Inaweza kujirudia mwaka huu mkuu maana Simba mmekuwa mkipata ushindi mwembamba wa goli 1 ama 2-1 ambao unaweza kuwagharimu mbeleni....Pia sare za kanda ya ziwa hasa ile ya 3-3 na Toto Africans
 
Ni Dk ya 70 kipindi cha pili Yanga 5 - Coastal 0 Ni Goli La K. Asamoh Dk 46
 
Yanga hatimae wameona mwezi
mpira ni afutaimu na wamepania kuongeza magoli manne tena kuweka rekodi ya man u
 
Piga kama Arse8,ndugu zao wameanza kutetemeka huko juu
 
Inaonekana umeanza kushangilia Simba zama za Kaseja wewe

sasa we unafikili hayo MAGAMBA kuna mtu anayafagilia?????. Kama mi ni zama za Kaseja itakuwa wewe zama zako bado, kakue kwanza.
 
sawa ligi bado mbichi ila idadi ya magoli ndio inayopelekea kusema kipofu kaona mwezi. Hongereni!
Hapana mkuu.....Yanga kuna mechi walishinda 3-2......Ni magoli mengi haya......Simba mechi waliyofunga magoli mengi ni ile waliyotoka sare ya 3-3 na Toto Africans na mpaka sasa Yanga wana magoli mengi ya kufunga(12) ukilinganisha na Simba(10)
 
sasa we unafikili hayo MAGAMBA kuna mtu anayafagilia?????. Kama mi ni zama za Kaseja itakuwa wewe zama zako bado, kakue kwanza.
Taratibu mtani..........Michezo si uadui zaidi ya utani...
Punguza munkari mtani...
 
Inaweza kujirudia mwaka huu mkuu maana Simba mmekuwa mkipata ushindi mwembamba wa goli 1 ama 2-1 ambao unaweza kuwagharimu mbeleni....Pia sare za kanda ya ziwa hasa ile ya 3-3 na Toto Africans

ni ya ukweli hayo kiongozi: lkn Basena kaishawambia vijana wetu kwamba kinachotakiwa ni kufanya kazi hivyo tarajia utitiri wa mabao Msimbazi; na Yanga leo kuibuka na ushindi mnono kutaongeza munkari kwa mastraika wa Simba kufumania nyanvu kwa kasi.
 
Back
Top Bottom