Mkuu
Ngoja nikusahihishe
Kabla ya mechi za jana na leo za Simba vs JKT na Yanga vs A.Lyon
Yanga wamefunga magoli 26 na kufungwa 6
Simba kafunga 35 kafungwa 15
Na kanuni zipo hivi
Kama timu zikifungana point basi kwanza kabisa itaangaliwa goal difference. Zikifanana basi itafuata ni sheria ya nani ana matokeo mazuri baina ya hizo timu mbili zilipocheza. Baada ya hapo then ndio wanaangalia nani ana magoli mengi ya kufunga
Hivyo basi Yanga anafikisha point 46, magoli 29 ya kufunga na 7 ya kufungwa, goal difference = 22
Simba nae ana point 46, magoli 36 ya kufunga, 16 ya kufungwa, goal difference = 20
Simba tujilaumu wenyewe...Yanga anauwezo wa kuwafunga ndugu zao Toto Africa hata 5...Mkuu....Hayo maelezo niliyoyatoa hapo juu sio yangu,ni kwa mujibu wa Afisa habari wa TFF Boniface Wambura ambaye alikuwa akihojiwa na Jesse John na Chacha Maginga wa TBC Taifa wakati wa mapumziko ya mechi ya Yanga vs African Lyon na ndiye aliyekokotoa na kutoa goal difference ya moja(kwa mujibu wa kanuni za ligi kuu ya VodaCom) na akasema endapo Yanga itashinda mechi ya leo kwa idadi ya magoli zaidi ya 2 itakuwa imeizidi Simba kwa uwiano huo wa magoli ya kufunga na yale ya kufungwa..............Ndiyo maana baada ya mechi hii Yanga inaongoza kwa goal difference ya 1
kwa biashara hii yanga ni bingwa kwa 90%...ukiangalia timu anayoenda kucheza nayo ambayo ni Tawi la Yanga sitegemei kama watawazuia...
Simba tujilaumu wenyewe...Yanga anauwezo wa kuwafunga ndugu zao Toto Africa hata 5...
Mkuu....Hayo maelezo niliyoyatoa hapo juu sio yangu,ni kwa mujibu wa Afisa habari wa TFF Boniface Wambura ambaye alikuwa akihojiwa na Jesse John na Chacha Maginga wa TBC Taifa wakati wa mapumziko ya mechi ya Yanga vs African Lyon na ndiye aliyekokotoa na kutoa goal difference ya moja(kwa mujibu wa kanuni za ligi kuu ya VodaCom) na akasema endapo Yanga itashinda mechi ya leo kwa idadi ya magoli zaidi ya 2 itakuwa imeizidi Simba kwa uwiano huo wa magoli ya kufunga na yale ya kufungwa..............Ndiyo maana baada ya mechi hii Yanga inaongoza kwa goal difference ya 1
Kiongozi wangu
Nimepata habari tofauti na alizosema Wambura wa TFF
Source mojawapo ni vipindi vya michezo leo jioni hii ambapo karibu vyote vinasema Yanga goal difference ni 22 wakati Simba ni 20
Source ya pili ni HAPA ambayo ni website ya TFF wenyewe
So inawezekana Wambura kateleza ktk maelezo yake
Na HAPA ndio matokeo ya mechi zote za Ligi Kuu za Vodacom mwaka huu kwa mujibu wa website ya TFF wenyewe
Anacheza keshovp yebo yebo kacheza?
ni wamzi mzuri lakini nijuavyo tanzania ni ama simba au yanga je maamzi yako yamesababisho na ule ugonjwa bobansunzu..hahahahanimeamua kwa that kabisa kuwa fan wa azam "wazee wa cookies"
Simba 2 na JKT Oljoro 0<br />
Yanga 0 na JKT Ruvu 1
Simba 2 na JKT Oljoro 0
Yanga 0 na JKT Ruvu 1