Victor Costa.Ni mchezaji gani aliyekosa penalty? Itakuwa ni mara ya pili mnyama anakosa penalty. Something must be done.
Pamoja na yote...HONGERA SIMBA, DAIMA MBELE! TUANGALIE MBELE KWENYE MECHI ZIJAZO. Tusirudie kosa.
Victor Costa.Ni mchezaji gani aliyekosa penalty? Itakuwa ni mara ya pili mnyama anakosa penalty. Something must be done.
Pamoja na yote...HONGERA SIMBA, DAIMA MBELE! TUANGALIE MBELE KWENYE MECHI ZIJAZO. Tusirudie kosa.
Mapema hivi! Leo kuna karamu!yanga 2 na Coast 0..
Mapema hivi! Leo kuna karamu!
Tunaomba wafungaji mtaniyanga 3 na coastal ni dakika ya 34 kipindi cha kwanza
a.k.a Simba BHao Coastal Union si ndio wanashika mkia kwenye ligi? Kunani pale Tanga? Mbona kila kitu kimekufa?
Asante mtani......Inaweza ikawa comeback kama ya msimu ulioisha mkuu...Hongera zenu watani Balantanda, CPU na wengine, jikongojeni msogee sogee kabla hatujachukua pointi zetu sita kutoka kwenu.