Ulimakafu
JF-Expert Member
- Mar 18, 2011
- 31,701
- 13,672
Timu nzuri toka tunapiga kwa mujibu pale.Hongera zao.natamani jkt oljoro ichukue kombee!
Timu nzuri toka tunapiga kwa mujibu pale.Hongera zao.natamani jkt oljoro ichukue kombee!
Yanga 1:kagera 0
Salama mtani?....mpira half time bila bila
Ni dakika ya 83 sasadakika ya ngapi?
Kama sisi vipofu,hao wanaoona mpaka sasa ushindi wao mnono ni wa goli ngapi?huyu coastal mwenyewe mlimpiga kamoja kakichooovu....anyway tunasubiri kushuka daraja kama wengi walivyotabiri!
Waambie hao,kijiba cha roho watu wa pwani wanasema.
Kado katulia sana golini leo......
Dakika ya 86 sasa....
Yanga 1:0 Kagera Sugar
Game ikiisha hivi Yanga watakuwa na point 15 na watapanda hadi nafasi ya 3 , wataishusha JKT Ruvu kwa Goal difference...
Dakika ya 90 sasa(zimeongezwa dakika 3)
Yanga 1:0 Kagera Sugar