johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,968
- 141,975
Msaada kwenye tuta tafadhali.
Hali ya barabara ikoje kwa wale mliobahatika kufika Mjini mapema? Nipo Madale naelekea Kariakoo.
Mungu wa mbinguni awabariki sana.
Hali ya barabara ikoje kwa wale mliobahatika kufika Mjini mapema? Nipo Madale naelekea Kariakoo.
Mungu wa mbinguni awabariki sana.