UPDATES: Mapokezi ya Dr. Ulimboka na yaliyojiri

UPDATES: Mapokezi ya Dr. Ulimboka na yaliyojiri

fanya kama mandela utakapoongea na media sema maneno haya "NIMEWASAMEHE WATESI WANGU NA MUNGU AWASAMEHE KWANI HAWAKUJUA WALILLOTENDA"
 
Mungu mkubwa. Bible inasema usiogope wauao mwili mwogope anayeweza kuua mwili na roho yako pia naye ni yule mungu wa kweli wa wakristo wote.
 
mkuuu nilikuwa karibu na dr na nimempiga sura yake picha ku2mia simu yangu nokia c3 cha kushangazi sijui jinsi ya kuweka humu janvini unaweza nifundisha

ukitaka kupost pembeni yake kuna button imeandikwa attach basi ukibonyeza hiyo itakupeleka kwenye sehemu itakayo kuwezesha kubrowse picha unayotaka kuattach..
 
Kuna tetesi kwamba huyu kamanda wetu anapigiwa magoti na serikali (Ikulu) kwamba pindi atakapozungumza, asitaje kwamba Ikulu yahusika kutekwa na kupigwa kwake, kwamba amkane Rama. Nadhani kuna namna alivyotayarishiwa kujenga hoja hii.

Inasemekana mpango huu unaratibiwa na Mzee Mengi, kwani kama mnavyofahamu Mengi ametoa mchango mkubwa sana kifedha kwa ajili ya matibabu ya Dr Ulimboka. halafu pia inafahamika jinsi Mengi anavyomuabudu JK.

Kuna mambo mawili hapa: Ulimboka akikubali mpango huo, basi atakuwa amejimaliza, kwani TISS wataogopa kwamba kuna siku anaweza kuropoka na kusema yaliyo ukweli. Hivyo watahakikisha haishi muda mrefu.

Pili, bora aseme lile la ukweli kwamba Ikulu ilihusika kwani atakuwa amejiwekea kinga ya kutomalizwa maisha yake -- TISS wataogopa kwani kidole kita-point kwao kwamba ni wahusika wa kifo chake kwa kuwa atakuwa amewaumbua.

Nakiri tena hizi ni tetesi, lakini ni very plausible scenario.

Ahsante mkuu.. tetesi hizi zinaharufu ya ukweli.
 
Karibu Kamanda Ulimboka na Mungu aendelee kuimarisha afya yako. Wameaibika!!! Na ole wao wakuguse tena!!! Medical proffession needs care and attention. Madaktari wameteseka kwa kiasi kikubwa sana, wanasoma theory, practically hospital hazina vifaa hivyo akili zao zinadumaa. Wataalam tunao, nchi za wenzetu hadi Africa ya Kusini mnakokimbilia mambo yakiwa magumu wapo madaktari watanzania kule!!! Again, welcome. Na tutafurahi vyombo vyote vya habari leo vitoe habari za ujio wako. Mrs Ulimboka and the kids, hongereni na Mungu awalinde ili baba yenu awatunze mpate maisha. Why kwa uzembe na udhaifu wa kitaifa mnataka kuwafanya watoto wa wenzenu yatima wakati vituo vya yatima Tanzania idara ya ustawi wa jamii haivipi huduma stahiki? Acheni mbofu mbofu na udhaifu.

waambia bana kamanda wa ukwel amerud serikal ijipange upya.
 
Maneno bila vitendo hayafai leteni picha,mnatukwaza sana jamani.
 
Dr. Ulimboka

Njooni hapa Calabash upooze uchovu na Goulash na Cattle lite ... bill ni yangu
 
Tunashukuru kwa picha iliyorushwa na Matola, tunaomba more fotoz wadau mliokwenda eneo la tukio.
 
Last edited by a moderator:
Kwa uhakika Mungu ni Mkuu. Karibu Dr Uli. Tafadhali sema kwa ufasaha kile kilichotendeka. Andaa press Release useme yote. Hongera kwa familia yako kwa kurudi salama. Serikali inafahamu utaiumbua, kamwe usikubali mchezo wowote wa kuficha ukweli wako. Karibu nyumbani. You are really Hero and sober!
 
marehemu mtarajiwa mwache aje kuaga kwa mara ya mwisho

Mungu amempa uzima na amerudi kwa kutembea ila siku zote shetani huwa against na maamuzi ya Mungu......yeyote aendaye tofauti na matakwa ya Mungu basi hana tofauti na Shetani.


Ulaaniwe ewe shetani.
 
Za leo wanaJF! Nimemaliza ban siku njema. Siku ambayo Public Witness No. 1(PW1),Dr. Stephen Ulimboka amerejea Bongo. Bahati njema muda wa kuwasili kwake nilikuwa Uwanja wa Ndege. Nikawa mmoja wa watu wa mwanzo kabisa kumshuhudia akiteremka ngazi kutua Bongo. Akizishuka ngazi za umahututi hadi udhabiti. Ngazi za afya mgogoro na kufikia afya njema. Nililia sana nilipomuona. Nilililia haki na jinsi inavyokandamizwa na wadhalimu-CCM.Naam,Ulimboka is back. More to come...
 
Mwisho wa hii Serikali dhalimu haupo mbali.
 
Back
Top Bottom