UPDATES: Mapokezi ya Dr. Ulimboka na yaliyojiri

UPDATES: Mapokezi ya Dr. Ulimboka na yaliyojiri

Ukijua sababu ambazo zimepelekea Rais Mwai Kibaki (yule Rais wa Kenya) kuleta ndege ya kijeshi usiku wa manane ili kuwahamisha raia wa Kenya majeruhi wa ajali ya basi kutoka Hospitali ya Taifa ya Muhimbili kwenda nchini mwao ndio unaweza kupata jibu kama Dr Ulimboka ni mkomboaji au muuaji. Au nani muuaji kati ya Dr. Ulimboka na Dr. Dr. Dr. Dr. JK.
Yaani nchi yetu inadharaurika sana, Kibaki ameona hapa kwetu huduma za afya ni sifuri ndio maana amechukuwa Raia wake, siamini kama Mtanzania akipata ajali Kenya serikali hii dhaifu kama itathubutu kumrudisha atibiwe hapa nyumbani.
 
ha ha kashaingia mjini anasema yupo fit kwa lolote!mliman tv wamerusha live.....jamani wenye picha watuwekee
 
Asante sana mkuu angalau tumeona umati huu

mkuuu nilikuwa karibu na dr na nimempiga sura yake picha ku2mia simu yangu nokia c3 cha kushangazi sijui jinsi ya kuweka humu janvini unaweza nifundisha
 
Mlioko uwanjani hivi dr Uli... bado yuko mapokezi au kashaenda zake kupumzika?

Ameenda ikulu kwa Abeid kumpa pole kwa kusingiziwa kuwa ndo mtesaji wake, akitoka hapo anaenda kwa Kova kumpongeza kwa kazi nzito aliyofanya kumkamata mtesaji wake Mkenya.
 
ha ha kashaingia mjini anasema yupo fit kwa lolote!mliman tv wamerusha live.....jamani wenye picha watuwekee

aiseeee baba yangu nimepiga picha nyingi sana embu nifundishe jinsi ya kuweka humu ndani nanyi mfaidi
 
"Mimi mzima na niko tayari kwa lolote, ahsanteni wanafamilia, madaktari na watanzania wote" Kauli ya Dr. Ulimboka akibubujikwa na machozi... Wadau, karibuni Kwenye season infinity ya mgomo aw madaktari.

Hongera zake!
 
mkuuu nilikuwa karibu na dr na nimempiga sura yake picha ku2mia simu yangu nokia c3 cha kushangazi sijui jinsi ya kuweka humu janvini unaweza nifundisha

Madhani hii ni changa moto kwa JF, Mimi pia sijui, ni hadi kutumia computer hivyo picha zinapitwa na wakati
 
Amepona kwa sababu amepelekwa kwenye nchi ambayo inatoa matibabu bora! Ingekuwa hapa kwetu tungekuwa tumeshampoteza.
Ashukuriwe MUNGU.
 
Yaani nchi yetu inadharaurika sana, Kibaki ameona hapa kwetu huduma za afya ni sifuri ndio maana amechukuwa Raia wake, siamini kama Mtanzania akipata ajali Kenya serikali hii dhaifu kama itathubutu kumrudisha atibiwe hapa nyumbani.

Umesahau hata Rwanda walituma helcopter kuchukua wanakwaya wake walopata ajali? Huku kwetu kiongozi akiugua kichwa tu anakimbilia nairobi au india. Ujinga mtupu tz.
 
Mungu wa Israel akupatilize kwa haya maneno yako.


mungu si athuman na mungu ni wa wote hata wale waliofiwa na ndugu zao kwa sababu ya mgomo aliouongoza dr ulimboka nao pia wanamuomba mungo huyo huyo
 
Vivaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!!!!! Vivaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!!!!!!
 
Wakuu walipo uwanjani tupieni hata picha basi.
 
Yaani nchi yetu inadharaurika sana, Kibaki ameona hapa kwetu huduma za afya ni sifuri ndio maana amechukuwa Raia wake, siamini kama Mtanzania akipata ajali Kenya serikali hii dhaifu kama itathubutu kumrudisha atibiwe hapa nyumbani.

mkuu yani uliyoyasema ni kweli kabisa lakini kuna wapumbavu wanaitetea serikali kwa hili..
 
Yaani nchi yetu inadharaurika sana, Kibaki ameona hapa kwetu huduma za afya ni sifuri ndio maana amechukuwa Raia wake, siamini kama Mtanzania akipata ajali Kenya serikali hii dhaifu kama itathubutu kumrudisha atibiwe hapa nyumbani.

Kibaki si wa kwanza kufanya hivyo, nakumbuka hata mwaka jana au juzi Kagame naye alileta ndege kuwachukua wanakwaya waliopata ajali ya gari. Hii ni uthitibitisho tosha kwamba majirani zetu wanajaua kwamba hapa kwetu huduma za afya ni sifuri!!!!

Tiba
 
Back
Top Bottom