UPDATES: Mapokezi ya Dr. Ulimboka na yaliyojiri

UPDATES: Mapokezi ya Dr. Ulimboka na yaliyojiri

Kwa maoni yangu, dr. angefanya kabisa press conference kabla ya kuondoka uwanjan kuelekea hom, vingnevyo nahisi harufu ya mmwakyembe kujirudia.
 
pole kwa kukaa muda nje ya jukwaa.Dr .Uli asipofungwa kunywa chake tutasikia mengi ya waliomtesa
 
Jamani muda wote huo hakuna hata mmoja aliyefanikiwa kupost angalau picha moja!! Jamani tusaidie tulio mbali nasi tuone namna Mungu alivyowaaibisha watesi wa Dr. Ulimboka.
 
Ningetegemea angefanya in-depth interview huko huko S.Africa na video ikatunzwa kabla hajarudi. Km hajafanya hivyo, nina wasiwasi what's going to happen next. And the story inaendelea ilipoishia ...
 
kazi walishamaliza hakuna kilichobaki ganda tupu hilo. kama waliweza kupunzika naye usiku kuja msituni . wakamngoa meno ,wakamchomoa kucha , wakamla tigo etc . sasa nini kingine hawajamfanyia . mshaulini tu awe anahudhulia kanisani na aache pombe.

Kwa mtu mwenye upeo wa kuelewa anajua kuwa binadamu wote tu 'marehemu watarajiwa', sijui wewe unakipata wapi kiburi cha kusema hayo, inshallah, labda una mungu wako mwenyewe au ushatoa rushwa km mlivo watu wa system, lkn mwisho wa yote ni ULITOKA MAVUMBINI UNARUDI MAVUMBINI! Afya uliyonayo isikupe kiburi hata we utakufa tu hata km sio kwa kupelekwa msitu wa pande!
 
Mungu mkubwa. Bible inasema usiogope wauao mwili mwogope anayeweza kuua mwili na roho yako pia naye ni yule mungu wa kweli wa wakristo wote.

Kumbe ili swala limeishakuwa la kidini.
 
Jamani muda wote huo hakuna hata mmoja aliyefanikiwa kupost angalau picha moja!! Jamani tusaidie tulio mbali nasi tuone namna Mungu alivyowaaibisha watesi wa Dr. Ulimboka.

watu tayari washaingia mitini, ndo hali halisi mkuu
 
ukitaka kupost pembeni yake kuna button imeandikwa attach basi ukibonyeza hiyo itakupeleka kwenye sehemu itakayo kuwezesha kubrowse picha unayotaka kuattach..

aiseee baba yangu najaribu ila inanishinda,,,je kwa simu huwa inakubali au mpaka utumie computer
 
watu wanashindwa kuweka picha,mnaojua waelekzeni basi tujue inakuwaje
 
Jamani muda wote huo hakuna hata mmoja aliyefanikiwa kupost angalau picha moja!! Jamani tusaidie tulio mbali nasi tuone namna Mungu alivyowaaibisha watesi wa Dr. Ulimboka.

mkuuuu najaribu ila inanishinda embu nielekeze natumia simu
 
Jamani hamna mwenye picha akatuwekea tuone Kamanda wetu alivyotua
 
[h=6]Dk Ulimboka (aliyeshika maua)alivyokuwa akiwasili ktk uwanja wa ndege wa dsm akitokea S.A, haika afya yake imeimarika sasa tunangoja watu kuumbuka na hasa gwaride la utambuzi kwa yule mjamaa wa kova
[/h]
 
kazi walishamaliza hakuna kilichobaki ganda tupu hilo. kama waliweza kupunzika naye usiku kuja msituni . wakamngoa meno ,wakamchomoa kucha , wakamla tigo etc . sasa nini kingine hawajamfanyia . mshaulini tu awe anahudhulia kanisani na aache pombe.

Kwa mtu mwenye upeo wa kuelewa anajua kuwa binadamu wote tu 'marehemu watarajiwa', sijui wewe unakipata wapi kiburi cha kusema hayo, inshallah, labda una mungu wako mwenyewe au ushatoa rushwa km mlivo watu wa system, lkn mwisho wa yote ni ULITOKA MAVUMBINI UNARUDI MAVUMBINI! Afya uliyonayo isikupe kiburi hata we utakufa tu hata km sio kwa kupelekwa msitu wa pande!
 
Welcome back our hero dr.ulimboka,wamefungia mwanahalisi lakini tunaye ulimboka livee,tunapata habari
 
Ni kweli walimng'oa kucha pamoja na meno..
 
[h=6]Dk Ulimboka (aliyeshika maua)alivyokuwa akiwasili ktk uwanja wa ndege wa dsm akitokea S.A, haika afya yake imeimarika sasa tunangoja watu kuumbuka na hasa gwaride la utambuzi kwa yule mjamaa wa kova
[/h]
Mkuu tunakushukuru sana kwa hii picture,hakika Mungu yupo
 
[h=6]Dk Ulimboka
(aliyeshika maua)alivyokuwa akiwasili ktk uwanja wa ndege wa dsm
akitokea S.A, haika afya yake imeimarika sasa tunangoja watu kuumbuka
na hasa gwaride la utambuzi kwa yule mjamaa wa kova
[/h]

karibu na pole kwa yaliyokusibu!
 
Back
Top Bottom