UPDATES: Mapokezi ya Dr. Ulimboka na yaliyojiri

UPDATES: Mapokezi ya Dr. Ulimboka na yaliyojiri

Pole sana daktari Ulimboka, sasa eleza kwa uwazi bila kumwogopa yeyote kuhusu kilichotokea msituni na wahusika wote ulioweza kuwatambua.
Liwalo na liwe, kama noma na iwe noma. Hakuna cha upepo tu utapita bali ni KIMBUNGA KITAEZUA MAPAA NA KUBOMOA MAJUMBA.
 
kaka ni mapenzi yake mola kukuweka leo mzima karibu tena nyumbani kwenu usiwe na kinyongo na serikali yako fanya kazi zako kama ilivyokuwa hapo mwanzo maana mwenyezi mungu anakupenda zaidi ya wanadamu na hii imejidhihirisha katika tukio lililokukuta serikali yako imeonyesha ya kuwa wale wote wanaotenda haki kamwe hawatakiwi kuishi lakini kwetu sisi wapigania haki za wanyonge tunajua siku moja ukweli utafahamika na hapo ndipo itakuwa mwisho wa yote
ushauri wangu katika hili ni kuwa kila mmoja wetu basi ahusike kwa njia moja au nyingine katika kumlinda doctor ulimboka kwani serikali kutokana na aibu walioipata wanaweza kumuangamiza wakati wowote ili kuficha ushahidi kwa watanzania wanohitaji kufamu mchakato mzima wa tukio

karibu kaka nyumbani kwa mara nyngine watanzania wote tunakupenda na tunakuamini sana katika ujenzi wa taifa letu lakini ukifika usisahau kuja kutusalimia sisi wanaharakati wa morogoro mungu akuzidishie maisha marefu ili uweze kushuhudi mengi yaliyojificha
 
ikithibitika kwamba kweli bw.igondu alihusika mkurugenz tiss,wazirmamboyandani,waziriwaafya,wajiuzulu kabla hatujachukia

watanzania hatutakaa tuchukie mbona yamefanyika makubwa kuliko la ulimboka tukaishia kuchekacheka tu kama vasco wetu siku zikasonga kama kulianzisha ilikuwa siku ile alipookotwa mabwepande leo ameshapona ndio tukasirike acha kujidanganya nachelea kusema sisi watanzania ni wapole zaidi ya kondoo jike!
 
Uh,,,,,aisee mtu wa aina hii ataogopa kifo tena??????
Naamin leo watu hawatafuturu vizuri,na kama ni kweli basi watu hao ni KOVA,IGHONDU,MSANGI,MWEMA N M.KWEERE
 
hapo sasa ndo tutaupata ukweli nani kampiga na kumtesa,aisee hayo majina yakishatajwa hadharani tunaanza kuandamanaaaaaa

kama lini watanzania tuliwahi kuandamana kudai ukweli wewe kula dona na wife mlale days come days go watanzania hatuwezi kufanya chochote na watawala wameshatujua ndio maana wanatudharau! wanajua uchaguzi ukija kofia, t-shirt ubwabwa na wale wabishi zaidi 5000/- maliza kazi
 
haaahaaa mamndenyi umo na wewe @@@ kyala atogolwe
 
Na kama mnamhitaji ahmed msangi yuko ubalozi wa uswisi anakula bata na vile vile mama yake yuko hoi kwenye hospital ya kariuk pale victoria
wewe humuhitaji huyu muuaji wa mafia? alikoswakoswa pale EGINA usariver Arusha lakini bado anasakwa kwa udi na uvumba he is in for it!!
 
Duh wote hao wanafuturu??? Amebakia Pinda na mwamnyange tuu!

Ya Dr Ulimboka ni makubwa lakin anahitaji msaada zaidi aseme yote
 
Kwa uhakika Mungu ni Mkuu. Karibu Dr Uli. Tafadhali sema kwa ufasaha kile kilichotendeka. Andaa press Release useme yote. Hongera kwa familia yako kwa kurudi salama. Serikali inafahamu utaiumbua, kamwe usikubali mchezo wowote wa kuficha ukweli wako. Karibu nyumbani. You are really Hero and sober!

mwakyembe aliongea nini aliporudi?
 
Nilweli kamanda mboka yupo fit sana nijambo la kumshukuru sana Mungu kwa haya yote aliyomtendea Dr. mimi mwenyewe nimezungumza nae na kusikia akisema kwa maneno yake mwenyewe kuwa niko fit kwa lolote. nimefurahi sana kwa kurudi kwa kamanda wetu akiwa na nguvu kuliko tulivyodhani, sikuzote ukweli husinda na uongo na dhuluma havijawahi kushindana na ukweli vikashinda.
 
Just In:




Kiongozi wa jumuiya ya madaktari nchini Tanzania, Dk. Steven Ulimboka, akiwa amebeba maua, na kuzungukwa na Madaktari wenzake na wananchi wa kawaida waliofika kumlaki, mara alipowasili mapema leo Agosti 12, 2012, kwenye uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam akitokea kwenye matibabu nchini Afrika Kusini. Dk Ulimboka alisema kuwa yuko fiti na anaweza kufanya shughuli zozote atakazopewa kuanzia sasa.

Picha na Jiachie blog
 
Aibu ya ******...... Kuna kazi ya ziada ya kufanya kurudisha hali ya kawaida katika sector ya afya lasivivyo tutatibiwa ka kunguni na tutamkumbuka kamanda Ulimboka kwa alichokua anapigania na sisi tukakaa kimnya
 
kwa wale tulioko maeneo ya airport tuwekeeni updates za mapokezi ya dr ulimboka.
kwa wale mlioko ndani kabisa ya vyombo vya usalama pia msisite kutupa updates za hali ya mambo.

UPDATES:dr ulimboka anatarajiwa kutua saa nane mchana huu

Wanabodi mbona kama mpiganaji uli amepoteza comfo?au ndiyo furaha ya kurudi hme.karibu home Uli pumzika then mapambo aluta cont....
 
Naona ile series yetu inaendelea,kumbe ni season ya ngapi vile?
 
Back
Top Bottom