Updates: Maandamano ya CHADEMA Arusha, Hai, Mwanga na Same

Updates: Maandamano ya CHADEMA Arusha, Hai, Mwanga na Same

Makamanda wameingia mitini.
Hahahahahahahahahaaaaaaa! Tulijua tu watafanya hivyo hasa baada ya kamanda wao Mkuu, Freeman Mbowe kukimbilia uhamishoni South Africa. Nasikia ameenda kujiandalia makazi mara baada ya aibu watakayoipata 2015
 
Makamanda hakuna kulala, mimi nipo njiani nakuja japo ninaweza kuchelewa kufika hapo centre, lakini kazeni moyoni mimi nipo nyuma yenu.
 
Kamanda Rema Najua Atakuwa Mstari Wa Mbele, Hilo Halina Ubishi
 
Makamanda hakuna kulala, mimi nipo njiani nakuja japo ninaweza kuchelewa kufika hapo centre, lakini kazeni moyoni mimi nipo nyuma yenu.
Hahahahahahahaaaaaaaa! Mpaka saa ngapi mkuu. Maana sasa ni saa sita mchana
 
Dhambi Kubwa Kuliko Zote Duniani Ni Woga, Tusiogope Kuikomboa Nchi Yetu
 
Sisi makamanda ni wahamasishaji kwenye mitandao wanaoandamana wengine.
 
.... Nyarere Alikataza Ukabira Na Ubaguzi, Vp Wewe Bado Unaendekeza Hayo?
Nyarere ndo nani na Ukabira ndo nini? Jifunze kwanza kiswahili ndipo uje kuchangia humu. Vipi wewe Mnyarwanda!
 
Hv mkuu wa kaya hajabeba sembe kweli kwenye ziara yake kulee kwa akina john cena?
 
Makamanda hakuna kulala, mimi nipo njiani nakuja japo ninaweza kuchelewa kufika hapo centre, lakini kazeni moyoni mimi nipo nyuma yenu.


Makamanda wanaogopa Mbwa na Virungu.

Mimi niko Mwanga Amani inatawala....Hakuna Maandamano ya Kihuni.
 
Kwa hesabu yako raia na police ni wapi wengi raia tukiamua kuwasambaratisha hao police wako Tz nzima nusu saa ni kubwa mno hakutakuwa na police hata mmoja Tz achana kabisa na nguvu ya uma dogo hata hivyo raia wa Tz ni wapole sana!! Nchi nyingine rais yupo marekani anaambiwa baki hukohuko nchi imeshakombolewa na wapenda haki!!

Amua basi jombaaa utukomboe sisi wanyonge!
 
LEMA umeturubuni tukanunua stock ya mikate na maji , kumbe hakuna maandamano!
 
Back
Top Bottom