majjita 01
JF-Expert Member
- Sep 12, 2014
- 232
- 82
Kama askari wa ghasia huwa najisikia na kukubali hatia ya kulaumiwa kwa mambo mengine juu ya kazi yangu ila kwa ili la kutaka kuvunja amani na utengamano wa kitaifa kwa maslahi ya watu binafsi kuwafanya ndugu zangu waangaike kuwa wakimbizi wa nchi jirani. Huwa nachukizwa.
Hakika sitakubali na sitakuwa na huruma na muandamanaji yeyote wa kariba hii. Nitapiga virungu kwa taaluma yangu bega bega tumbo nliyojifunza CCPbila kuchoka na bila kuwa na huruma kwa mharifu yeyote yule muandamanaji.
Hapa nilipo nina kibuyu cha maji, batton, ballistic helmet, ballistic vest, Anti-riot gun, buti langu nimefunga vizuri, sura ya mbuzi tabasamu la ng'ombe sicheki cheki ovyo ovyo..nimeconcetrates kufikiri mustakabali wa taifa langu, nimevaa body armour,
Sikubaliani na serikali moja kwa moja kwa yote najua ina mapungufu mengi saana kimfumo na kiutendaji ila namna ya CDM wanavyodai haki ndo inanishawishi nisiwe na huruma nitakapokuwa mastari wa mbele.
Mungu ibariki Tanzania,
Mumgu ibariki Afrika.
WAZAZI wako NAO UMEWAGAWIA HIVYO VIFAA VYA KUJILINDA?
TUTAELEWANA TU HUKU KITAA