Chademakwanza
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 6,346
- 1,872
Arusha hakuna dalili yeyote ya maandamano, Polisi wamemwambia LEMA kama anajiona ni 'mwanaume' aingize pua barabarani.
Baba Chaudaku ulikuwepo ulikuwepo?
Arusha hakuna dalili yeyote ya maandamano, Polisi wamemwambia LEMA kama anajiona ni 'mwanaume' aingize pua barabarani.
Babu chaudaku wakati anaambiwa ulikuwepo?Arusha hakuna dalili yeyote ya maandamano, Polisi wamemwambia LEMA kama anajiona ni 'mwanaume' aingize pua barabarani.
Mkuu wewe upo kikosi gani cha red brigade?Babu chaudaku wakati anaambiwa ulikuwepo?
FFU wametanda kila kona kuwaadabisha watukutu. Watakomaje leo?Nimepita sasa hivi Ngarenaro corner ya Nairobi FFU wako na
Tafadhali Tunaomba Update Za Maandamano Kwa Mkoa Wa Arusha Wilaya Za Hai, Mwanga Na Same, Pia Wenye Taarifa Za Kukamatwa Viongozi Wa Chadema Maeneo Tajwa Tujuzeni Hapa
Hatimaye Polisi wafanikiwa kuzima jaribio la maandamano na uvunjifu wa Amani. Hongera kwa jeshi letu tukufu.
Tuwapongeze ajeshi la Polisi kwa kutumia nguvu kiduchu kutawanya hao wahuniHatimaye Polisi wafanikiwa kuzima jaribio la maandamano na uvunjifu wa Amani. Hongera kwa jeshi letu tukufu.
Nimepita sasa hivi Ngarenaro corner ya Nairobi FFU wako na vifaa vya kazi ila naamini matisho hatasaidia
Wewe Mnyarwanda umaandamana wapi?... Polis Wanataka Kuzuia Jengo Bovu Linalobomoka, Litawashinda Tu
Ulinzi wa nchi hii ni wa hali ya juu sana. Hiyo ni sehemu tu ya jeshi la polisi iliyotumika kuwadhibiti wahuni waandamanaji wa CHADEMAKumbe nchi hii haina ujambazi. Maana kama wale majizi ya kuvamia na kuiba mabenki yangekuwapo leo ndio ingekuwa siku yao maana Polisi wakati wanashughulika na siasa za Chadema wao wanhekuwa wanajichukulia kwa ulaini.
Umeona eeeeh! Ila ameeleweka Mkuu. Ni makosa tu ya kiuandishiAah! Mkoa wa Arusha wilaya za......................:flame::flame::flame:
Hahahahahaaaaaaa! Kumbe Chadema si mpango wa Mungu tena bali ni mpango wa Babu wa Kibondo!.... Nimeenda Kwa Babu Kibondo, Atageuza Risasi Kuwa Maji