Updates: Maandamano ya CHADEMA Arusha, Hai, Mwanga na Same

Updates: Maandamano ya CHADEMA Arusha, Hai, Mwanga na Same

Hakuna tija yeyote ya maandamano kwenye kikao na JK thi walikuwepo wote?
Walishindwa kumwambia mshua km wanataka kuandamana?
 
Hizi ni dalili za kwisha kwa ufalme wa ambowe ndani ya CHADEMA. Kuna pia kadada fulani ambako hakajui mwanaume. Kanajifanyaga kweli kimbelembele. Sijui na kenyewe kamekimbia huko South Africa au kamejificha Kawe Beach


Niko hapa Mwanga nakula Nyama choma ya Kondoo...

Hakuna hata mwenye Habari na Maandamano ...
 
Niko hapa Mwanga nakula Nyama choma ya Kondoo...

Hakuna hata mwenye Habari na Maandamano ...
Hahahahahahahahaaaaaa! Nadhani hapo wimbo wa kitorondo.......... Unapigwa huku ukiendelea kula nyama choma
 
Hahahahahahahahaaaaaa! Nadhani hapo wimbo wa kitorondo.......... Unapigwa huku ukiendelea kula nyama choma

Tanzania ni Nchi ya Amani.... Hatuwezi kuvumilia uhuni wa Wachache....
 
Mkuu, tusaidie kumsaka huko viunga vya Arusha. Usisahau pia kuwasaka kwenye mazizi ya Kitimoto maana last time Lema alikuwa mbunifu wa maficho salama


Huyu Ephata Nanyaro anachoweza ni kuwapiga mgambo... Tena wakike..... Atoe pua leo aone.....
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom