Updates: Maandamano ya CHADEMA Arusha, Hai, Mwanga na Same

Updates: Maandamano ya CHADEMA Arusha, Hai, Mwanga na Same

Asubuhi nimeona Vijiaskari njaa vimejazana kila kona na vingine vilikua vimejificha pale Jacaranda halafu viko na gari la maji yanayowasha. Wengine walikua maeneo jirani na Precision Air wamejificha kwenye Noah nyeupe
 
Niko hapa arusha stand ya vifodi PAMA BAR nasubir maandamano ya makamanda sioni dalili yoyote
 
Asubuhi nimeona Vijiaskari njaa vimejazana kila kona na vingine vilikua vimejificha pale Jacaranda halafu viko na gari la maji yanayowasha. Wengine walikua maeneo jirani na Precision Air wamejificha kwenye Noah nyeupe


Elli
Kama vijiaskari njaa mbona hamjatoa Pua Nje..
 
Last edited by a moderator:
Mnaoandamana mnaanza saa ngapi?

Hizo sio ngumi bali ni Woga uliokubuhu. Kama kweli wako vizuri kwa mkono kwanini wajivike hivyo vizuizi? Wavue waache Magongo na silaha uone msiba utakaopelekwa jeshi la polisi
 
Kinachoenda kutokea leo arusha dunia nzima itasimama,subirini kidogo tuu
 
Lizaboni

Naona mkubwa wao Mbowe kaamua kukimbia.... Amewaacha mambwiga waandamane...
Hizi ni dalili za kwisha kwa ufalme wa ambowe ndani ya CHADEMA. Kuna pia kadada fulani ambako hakajui mwanaume. Kanajifanyaga kweli kimbelembele. Sijui na kenyewe kamekimbia huko South Africa au kamejificha Kawe Beach
 
Niko hapa arusha stand ya vifodi PAMA BAR nasubir maandamano ya makamanda sioni dalili yoyote

Mkuu wewe agiza Nyama Choma ule kwa raha zako, Nchi ya Amani hii, hakuna maandamo wala wa mgomo. Tutawalinda raia wema wasidhuriwe na mhuni yeyote.
 
Kinachoenda kutokea leo arusha dunia nzima itasimama,subirini kidogo tuu
Yaani dunia isimamishwe na wapuuzi wa Arusha? Mlisema saa nne na sasa ni saa sita hakuna dalili. Makamanda gani waoga nyie
 
Elli
Kama vijiaskari njaa mbona hamjatoa Pua Nje..

Mpwa kama wanaweza ngumi kweli kama Kile Kidingi Farijala kilivyokuwa kinafurahi juzi basi waweke silaha chini Twende nao kavu kavu au waruhusu na sisi tutafute za kwetu. Out of that huo ni Woga na ni kwa ajili ya kuwatumikia Mabwana zao.

Nashukuru Mungu kwa Mama Faith Amour (Rip) kuninyima nafasi ya kujiunga na Polisi hapo 1999! Leo lazima ningekuwa upande wa wenye akili.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom