Updates: Maandamano ya CHADEMA Arusha, Hai, Mwanga na Same

Updates: Maandamano ya CHADEMA Arusha, Hai, Mwanga na Same

Hakuna wa kumtisha wala kumzuia Lema katika utekelezaji wa maagizo ya chama.
Kamuulize Mwigamba anaijua shughuli yake baada ya kufumwa na waraka wao wa kusaliti chama.
Ova.


Mdakuzi
Lema ni Bingwa wa Vitofali.... Aje navyo leo aone.
 
Last edited by a moderator:
attachment.php

Mbwembwe tu hamna kitu,mbeya mtiti wake wanaujua siku 3 hakuna kulala mpaka Rais wa mbeya alivyokuja kusuluhisha,makombati hayo,virungu,risasi havijawahi shinda nguvu ya umma.

kaandamane acha kujificha na screen
 
Ha ha haa Chadema imekufa wakati inapopiga chafya tu nchi yote inatetemeka.
 
Hakuna wa kumtisha wala kumzuia Lema katika utekelezaji wa maagizo ya chama.
Kamuulize Mwigamba anaijua shughuli yake baada ya kufumwa na waraka wao wa kusaliti chama.
Ova.

Hii nchi si mali ya Lema wala Cdm....Kabla ya kuropoka kitu hapa ushirikishe na ubongo...Kama hakuna wa kumzuia mbona kaingia mitin???
 
Nilichokisema juzi hiki hapa,
Sitashiriki Maandamano ya CHADEMA

Natambua kuwa maandano ni haki inayominywa na katiba ya sasa hata hivyo katiba mpya haijapatikana. Kama mwana CHADEMA na mwanaharakati,kimsingi naunga mkono dhana ya maandamano hata yasiyo na kibali kama nia na sababu za viongozi na waandamanaji ni moja.

Ilivyo leo nia na sababu za viongozi wa CHADEMA siyo moja na sisi wanachama.

Maoni yangu ni kuwa viongozi wanataka kujenga mgogoro ili wapate fursa ya majadiliano na serikali baada ya watu kuuawa,ama kuumizwa.

Napinga na siwezi kushiriki maandamano haya pia kwa sababu ya tabia za CHADEMA.

1: Inasherehekea vifo na mazishi,na kutelekeza familia za marehemu
2: Majeruhi hutelekezwa na chama
3: Watakaokamatwa,kuwekwa ndani na kushtakiwa,watasota wenyewe na kutiwa gerezani bila msaada wa chama
4: Treatment ya polisi na magereza,ni tofauti.Wanachama hunyanyaswa,wakati viongozi huheshimiwa, hivyo mkikamatwa na Lissu mfano, wakati nyie mnagongwa virungu yeye hagongwi.
5: Sababu ya maandamano haya siyo genuine kwa hiyo maandamano haya lengo na sababu zake siyo valid.
 
kama imefikia hatua wananchi wanaogopa polis,kwa kweli hili jeshi linapaswa kuvunjwa mara moja!

Hizi kauli zenu zinabadilika kama upepo, Jana mlituhakikishia hapa kuwa hamuogopi polisi, leo mnakuja na porojo mpya tena!
 
Hii nchi si mali ya Lema wala Cdm....Kabla ya kuropoka kitu hapa ushirikishe na ubongo...Kama hakuna wa kumzuia mbona kaingia mitin???

Acha ujinga wa kusaliti nchi kwa ajili ya hizo buku saba ulizopewa na magamba. Wenye ndugu kama wewe wana shida sana. Yaani nikiwekewa jiwe na wewe, nitachagua jiwe.
Ova
 
Hapo ndio UKAWA mnanimaliza na kunichanganya
Mbona maandano badala ya kuwa ya umoja wenu wenzenu CUF wamewakimbia?
Hii tu inaoneysha kwamba hakuna dhamira njema na wala hamna mnalolihitaji zaidi yauroho wa madaraka.
Kama mlivyoamua umoja wa wakati ule mliotoka Bungeni na kudai haki basi hadi damu ya mwisho mngekuwa Pamoja.

Huu Zanzibar hakuna hata anaejua kama kuna kitu kinaitwa kuandamana kila mtu anahangaikia kula yake na waoto wake.Aisee Siasa ikikuvaa unakuwa kama vile zimenoki.
 
Watanzania Wenzangu Hivi Hao Polisi Na FFU hawayaoni maovu yanayotendeka katika nchi hii?
Je, wao wana maisha bora?
au nikutafuta sifa kwamba wao wanajua kupiga na wanafanya kazi kitiifu sana..
Nchi yangu na watanzania wenzangu wananishangaza sana, tumejaa unafki na uwoga wa hali ya juu?
ukiwa nyumbani unalalamika maisha magumu hela hakuna na malalamiko mengi ya aina hii..Solution za matatizo zinatokea hutaki kujihusisha huko..yaani ahaa!!


UKIONA MTU ANAWAKEJELI WANAOTAKA KUFANYA MAANDAMANO, UJUE YEYE NAYE YUPO KATIKA MSULULU WA WANAOPATA PESA ISIVYO HALALI.
 
Maandamano ya saa nne mpaka sasa saa tisa kaso hayajaanza!



nilasam a.k.a msalani yani tunakoelekea tegemea wafungwa wengi sana ndani serikali hii dhalimu ya mafisadi..........mwaona kama kinachotendwa na jeshi hili lililoabudu mafisadi Ni haki litawagharimu siku si nyingi hawataamini...........
 
ARUSHA wameandamana police peke yaoo toka asubuhi wako barabaran na kila kona na makoleo yaoo na kile kibendera chao chekunduuu
 
Back
Top Bottom