aminangalo
JF-Expert Member
- Aug 31, 2013
- 974
- 190
Hai hawawezi andamana hamna mazwazwa kule mazwazwa wapo mbeya Mwanza na Arusha
SI FAMILIA zenu NA NDUGU ZENU PIA TUNAKAA NAO HUKU KITAAMbona hamtokei wanachadema tunawasubiri huku mtaani sisi mafidifosi!!
Kamanda unaomba kwa nani tena unatakiwa wewe mwenyewe uende kwenye maandamano utuletee update au unaogopa risasi za moto.Tafadhali Tunaomba Update Za Maandamano Kwa Mkoa Wa Arusha Wilaya Za Hai, Mwanga Na Same, Pia Wenye Taarifa Za Kukamatwa Viongozi Wa Chadema Maeneo Tajwa Tujuzeni Hapa
haa haa, hiyo ndo sifa ya polis wa tanzania, kuua raia wasio na hatia.
Mnaoandamana mnaanza saa ngapi?
Kamanda unaomba kwa nani tena unatakiwa wewe mwenyewe uende kwenye maandamano utuletee update au unaogopa risasi za moto.
Hai hawawezi andamana hamna mazwazwa kule mazwazwa wapo mbeya Mwanza na Arusha
![]()
Mbwembwe tu hamna kitu,mbeya mtiti wake wanaujua siku 3 hakuna kulala mpaka Rais wa mbeya alivyokuja kusuluhisha,makombati hayo,virungu,risasi havijawahi shinda nguvu ya umma.
haa haa kuandamana kuna vurugu amani gan? Labda amani ya umagambani mkuu. Mkuu kinachofanywa na jeshi la polis ni haramu na hakika.Mkuu uvuruge amani halafu bado unajiona huna hatia? Utagundua kosa lako ukiwa gerezani haya kila la heli wapitie wenzio muende.
SI FAMILIA zenu NA NDUGU ZENU PIA TUNAKAA NAO HUKU KITAA
WATAKOMA
Hayo Ni Mamidoli Tu Wa Tz Tutaingia Rodini Hatuogopi
Kama askari wa ghasia huwa najisikia na kukubali hatia ya kulaumiwa kwa mambo mengine juu ya kazi yangu ila kwa ili la kutaka kuvunja amani na utengamano wa kitaifa kwa maslahi ya watu binafsi kuwafanya ndugu zangu waangaike kuwa wakimbizi wa nchi jirani. Huwa nachukizwa.
Hakika sitakubali na sitakuwa na huruma na muandamanaji yeyote wa kariba hii. Nitapiga virungu kwa taaluma yangu bega bega tumbo nliyojifunza CCPbila kuchoka na bila kuwa na huruma kwa mharifu yeyote yule muandamanaji.
Hapa nilipo nina kibuyu cha maji, batton, ballistic helmet, ballistic vest, Anti-riot gun, buti langu nimefunga vizuri, sura ya mbuzi tabasamu la ng'ombe sicheki cheki ovyo ovyo..nimeconcetrates kufikiri mustakabali wa taifa langu, nimevaa body armour,
Sikubaliani na serikali moja kwa moja kwa yote najua ina mapungufu mengi saana kimfumo na kiutendaji ila namna ya CDM wanavyodai haki ndo inanishawishi nisiwe na huruma nitakapokuwa mastari wa mbele.
Mungu ibariki Tanzania,
Mumgu ibariki Afrika.
Kama askari wa ghasia huwa najisikia na kukubali hatia ya kulaumiwa kwa mambo mengine juu ya kazi yangu ila kwa ili la kutaka kuvunja amani na utengamano wa kitaifa kwa maslahi ya watu binafsi kuwafanya ndugu zangu waangaike kuwa wakimbizi wa nchi jirani. Huwa nachukizwa.
Hakika sitakubali na sitakuwa na huruma na muandamanaji yeyote wa kariba hii. Nitapiga virungu kwa taaluma yangu bega bega tumbo nliyojifunza CCPbila kuchoka na bila kuwa na huruma kwa mharifu yeyote yule muandamanaji.
Hapa nilipo nina kibuyu cha maji, batton, ballistic helmet, ballistic vest, Anti-riot gun, buti langu nimefunga vizuri, sura ya mbuzi tabasamu la ng'ombe sicheki cheki ovyo ovyo..nimeconcetrates kufikiri mustakabali wa taifa langu, nimevaa body armour,
Sikubaliani na serikali moja kwa moja kwa yote najua ina mapungufu mengi saana kimfumo na kiutendaji ila namna ya CDM wanavyodai haki ndo inanishawishi nisiwe na huruma nitakapokuwa mastari wa mbele.
Mungu ibariki Tanzania,
Mumgu ibariki Afrika.
Sasa kama unaingia rodini, unaulizia updates ya nini?
we maandamano hayaku husu unafuatilia ili? kumbuka maandamano yanafanyika sehemu tofauti hivo cwez kujigawa uzi huu lengo ni ku compile matukio,