GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,642
- 109,014
Benchika kiboko hakyanani yaana baada tu ya Wachezaji hawa kutua Dar es Salaam kimya kimya na kwenda Kwanza kutambulishwa Kwake (anakoishi) na kuambiwa na Uongozi kuwa Unawasajili ili watumike Kikosini Yeye bila ya Kuchelewa akauambia Uongozi (wa Simba SC) na Bonge la Sonyo kuwa wachague nani abaki kati yake na Wao kitendo kilichofanya Asubuhi tu Kesho yake Wachezaji hao wapandishwe Bung'o/ Ndege na warejee Makwao.
Natabiri kabla ya Pasaka au baada ya Pasaka ya 2024 Benchika (Mr. Misimamo na Sitaki Upuuzi Kazini) hatokuwa tena Kocha Mkuu wa Simba SC na hasa hasa kwa Matokeo ya Mechi Simba SC na Azam FC na Mechi Mbili za mwisho za Makundi za CAFCL.
Natabiri kabla ya Pasaka au baada ya Pasaka ya 2024 Benchika (Mr. Misimamo na Sitaki Upuuzi Kazini) hatokuwa tena Kocha Mkuu wa Simba SC na hasa hasa kwa Matokeo ya Mechi Simba SC na Azam FC na Mechi Mbili za mwisho za Makundi za CAFCL.