NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,306
- 12,803
Siyo Siri Tena usajili wa Jobe &Fred huu ni usajili wa mtu kati (wazee wa 10%) na siyo maagizo/mahitaji/matakwa ya kocha Bali ni wachezaji wa kikundi Cha viongozi pale Simba sc.
Alichokifanya kocha Benchikha kwenye mchezo wa Simba sc vs Al ahly ni kuwaweka benchi wachezaji Kisha kuanza na Saidoo ntibazonkiza kucheza Kama namba 9 kivuli.
Huu ni ujumbe kwa Boss wa Simba sc kuwa Hawaendani (hawafai ) kwenye mfumo wa BENCHIKA
Maoni Yangu: ili timu zetu zipige hatua kwenda fainali mpaka kuchukua kombe la klabu bingwa inabidi ziache JANJA JANJA kocha apewe uhuru afanye selective ya wachezaji anaowataka.
Alichokifanya kocha Benchikha kwenye mchezo wa Simba sc vs Al ahly ni kuwaweka benchi wachezaji Kisha kuanza na Saidoo ntibazonkiza kucheza Kama namba 9 kivuli.
Huu ni ujumbe kwa Boss wa Simba sc kuwa Hawaendani (hawafai ) kwenye mfumo wa BENCHIKA
Maoni Yangu: ili timu zetu zipige hatua kwenda fainali mpaka kuchukua kombe la klabu bingwa inabidi ziache JANJA JANJA kocha apewe uhuru afanye selective ya wachezaji anaowataka.