William Mshumbusi
JF-Expert Member
- Mar 27, 2012
- 1,657
- 2,252
- Thread starter
- #21
Rudi kwenye hoja. Haiwezekani wataalamu kukadilia isivyo sahihi. Kun shida kubwa mahaliMagufuli alikuwa na NIA na DHAMIRA ya dhati ktk kuleta mabadiliko ya kweli kwenye nchi yetu, ndio maana amekuwa ni mtu wa vitendo zaidi ktk kutekeleza miradi mbalimbali aliyoahidi
Ishu ya kukamilika kwa miradi hio huwezi kumlaumu kiongozi wa Serikali kwakuwa na yeye anapewa ahadi ya makisio ya ukamilishaji wa miradi kutoka kwa wataalamu wanaohusika na ujenzi na usimamizi wa miradi
By the way kuna dawa hapa Burundi inaitwa Uburukutu inasaidia kuondoa sumu mwilini,,, Nakushauri ndugu Tindo, Sexless na wenzako muitumie kupunguza kiwango cha chuki kwa Magufuli,, je niwaletee!??? 😀