William Mshumbusi
JF-Expert Member
- Mar 27, 2012
- 1,657
- 2,252
Machi 26 mtendaji mkuu tanload alisema Daraja la Wami litakamilika Sept 2021. Kwa mujibu wa Mwananchi, Leo Serikali inakuja na Lugha nyingine. Kwanini tunafanywa watoto
Miaka miwili nyuma tuliambiwa kipande Cha reli dar to Moro kuzinduliwa Novemba 2019. Leo 2022. Miaka 3 baadae hakuna kitu Kama hicho.
Mwaka 2p16 Raisi Magufuli anasaini mkataba na Benki ya Exim ya watu wa China ili kupata fedha za kujenga reli Dar to kigoma tsh tillion 16. Leo mama anasema atakopa kutoka sijui Uturuki. Mbona sielewi.
Kama taifa Serikali au watendaji wake kutoa kauli zisizoishi ni kuufanya ionekane ni ya kihuni. Nani NI mkweli.
Je awamu iliyopita walipiga propaganda tu au Awamu hii hazituambii ukweli?
Tusikubali hizi longolongo Tena. Tena kwa vitu vinavyoepukika kwa muda mfupi . Inafanya Serikali isiaminike kabisa kile inachokisema hasa kwa maswala nyeti Kama Deni la Taifa, Akiba ya Taifa, Takwimu mbalimbali na tayari vyombo vya Magharibi hutilia Shaka taarifa zote kutoka nchi Zilizo karibu na Uchina.
Miaka miwili nyuma tuliambiwa kipande Cha reli dar to Moro kuzinduliwa Novemba 2019. Leo 2022. Miaka 3 baadae hakuna kitu Kama hicho.
Mwaka 2p16 Raisi Magufuli anasaini mkataba na Benki ya Exim ya watu wa China ili kupata fedha za kujenga reli Dar to kigoma tsh tillion 16. Leo mama anasema atakopa kutoka sijui Uturuki. Mbona sielewi.
Kama taifa Serikali au watendaji wake kutoa kauli zisizoishi ni kuufanya ionekane ni ya kihuni. Nani NI mkweli.
Je awamu iliyopita walipiga propaganda tu au Awamu hii hazituambii ukweli?
Tusikubali hizi longolongo Tena. Tena kwa vitu vinavyoepukika kwa muda mfupi . Inafanya Serikali isiaminike kabisa kile inachokisema hasa kwa maswala nyeti Kama Deni la Taifa, Akiba ya Taifa, Takwimu mbalimbali na tayari vyombo vya Magharibi hutilia Shaka taarifa zote kutoka nchi Zilizo karibu na Uchina.