Uonevu wa Trafic Police Tanzania

Happy nation

JF-Expert Member
Apr 19, 2015
679
591
Leo nikiwa natoka Arusha kwenda moshi dereva aliyekuwa akiendesha gari letu alipigwa faini kwa kuendesha spidi 56 mahala pa Spidi 50. Nilimuonea huruma kwa sababu hamna gari inayoonyesha spidi hamsini aidha 40 na 60 hivyo inabidi dreva aangalie mshale ukae kati.

Sasa swali, dereva ataangalia mbele au mshale ubalance? Abiria pia tulivyosikia dreva akibishana na trafiki tuliona ni kweli gari lake haina mahala panapoonyesha spidi 50 ila 40 na 60.

Uonevu kama huu ndiyo inafanya watu wachukie Jeshi la Polisi.

20160911_085238.jpg
 
Poleni saana aisee, tatizo sio traffic tatizo ni hao wakubwa zao wanawawekea dau kubwa sana la kupeleka kwao, kuna mtu alinipa hio distribution nikashangaa, kwa Dar lazima upeleke si chini ya mabo matano (sikubuki vyema), the same to Mwanza na baadhi ya maeneo mengine. Aliyeyasema haya ni askari polisi sio kwamba nimetunga, sasa imagine kila leo mambo yanavyokuwa magumu, huyu askari atapata wapi hio idadi na unakuta wako zaidi ya watatu. Ndio maana kuna wakati wakikuona wanafaa kukushangilia na kukukimbilia hadi unajiuliza, hawa watu wana nini??

Yaani unakuata wanakanyagana wakigombea kukukamata.... kama vile ule mchezo wa kukamata kuku.
 
Kiakili tu hamna mtu mwenye nia ya kukimbia halafu a
sawa gari haionyeshi hvyo lakin kibao kimesema 50 kuepusha shari bora angetembea kwenye 40 maana tunajua maswala ya barabarn yalivyo ni bora nusu shari kuliko shari kamili ila polen.
Nia ya kuweka speed limit ni mtu asikimbie,je kuna tofauti gani ya maana kati ya 56 na 50 kama unaendesha gari.
 
Kiakili tu hamna mtu mwenye nia ya kukimbia halafu a

Nia ya kuweka speed limit ni mtu asikimbie,je kuna tofauti gani ya maana kati ya 56 na 50 kama unaendesha gari.
tofauti ndio hyo imesababishwa mmepigwa fine mkuu
 
Kwa mnaojua sheria..., wanasema speed iikiwa zadi ya 57 ndio unatikiwa kulipa faini. Naomba kujua kama ni kweli!!
 
Leo nikiwa natoka Arusha kwenda moshi dereva aliyekuwa akiendesha gari letu alipigwa faini kwa kuendesha spidi 56 mahala pa Spidi 50. Nilimuonea huruma kwa sababu hamna gari inayoonyesha spidi hamsini aidha 40 na 60 hivyo inabidi dreva aangalie mshale ukae kati.

Sasa swali, dereva ataangalia mbele au mshale ubalance? Abiria pia tulivyosikia dreva akibishana na trafiki tuliona ni kweli gari lake haina mahala panapoonyesha spidi 50 ila 40 na 60.

Uonevu kama huu ndiyo inafanya watu wachukie Jeshi la Polisi.

View attachment 398063
Kalipa faini ila inaonesha kwenye form kuwa"paid", je ile taratibu ya kulipa kupitia EFD imefutwa? Au je alipewa GRR (government revenue receipt)? Kama hakupewa receipt ukakika gani pesa imefika kunakohusika? Nashauri serikali isimamie utekelezaji wa taratibu na sheria kwa ukamilifu tena nchi nzzima kusiwe na uvujaji wa mapato ya serikali popote. Pia wananchi waelimishwe kuwa wanatakiwa kudai receipt halali kwa kila malipo ya faini.
 
Kalipa faini ila inaonesha kwenye form kuwa"paid", je ile taratibu ya kulipa kupitia EFD imefutwa? Au je alipewa GRR (government revenue receipt)? Kama hakupewa receipt ukakika gani pesa imefika kunakohusika? Nashauri serikali isimamie utekelezaji wa taratibu na sheria kwa ukamilifu tena nchi nzzima kusiwe na uvujaji wa mapato ya serikali popote. Pia wananchi waelimishwe kuwa wanatakiwa kudai receipt halali kwa kila malipo ya faini.
Lakini kweli si utu kabisa kumlipisha mtu kwa speed iliyozidi 7 tu? Hata kama tunakusanya kodi sio kwa hali hiyo !! Hawa wanaojiita walinda amani kweli hawakumtendea haki ilihitajika hata onyo tu la mdomo ingetosha na mahusiano yangeendelea kuwa mazuri na polis lakini kwa hali hii mmh !!
Mi nadhani kuna haja ya polis wetu wawe na kozi za mara kwa mara kuhusu ulinzi , amani na mahusiano ya raia wema ! Wakishatoka CCP tu basi wanaoendelea na masomo ni wachache ! mtu anajiona yeye ndo Mungu mtu anakuhukumu anavyotaka !
 
sawa gari haionyeshi hvyo lakin kibao kimesema 50 kuepusha shari bora angetembea kwenye 40 maana tunajua maswala ya barabarn yalivyo ni bora nusu shari kuliko shari kamili ila polen.
Kuna yule aliyepost uzi kwamba nchi nyingine zinaishi kwa kuwaminya wakosaji kama hao madereva wetu wazembe.

Mara nyingi nilivyozoea, ukikamatwa na speed ya 51+ maana yake ni kuwa, ulipo kibao kinakutaka uendeshe kwa 40kph lkn ili kubalance traffic hiziser camera zao kwa 50 ili hizi kumi zitumile kubalance mwendo tangu kibao kilipo hadi umbali fulani.

Hivyo kwa huyo wa 56 kihalisia amezidisha 16 japo kwenye kamera zitaonekana 6 tu.

Hivyo tubadilike, tutii bila kulazimishwa. Halafu wasafiri huingia kwenye hasara kubwa kwa kuingilia ugomvi wa dereva na traffic.

Mfano huyu mleta mada, anaonekana hana busara, yaani faini imemuuma kuliko mkosaji. Dereva hajaleta hapa lkn abiria kapiga picha na kurusha mtandaoni. Ni ulimbukeni ambao siku moja utamgharimu.
 
Poleni saana aisee, tatizo sio traffic tatizo ni hao wakubwa zao wanawawekea dau kubwa sana la kupeleka kwao, kuna mtu alinipa hio distribution nikashangaa, kwa Dar lazima upeleke si chini ya mabo matano (sikubuki vyema), the same to Mwanza na baadhi ya maeneo mengine. Aliyeyasema haya ni askari polisi sio kwamba nimetunga, sasa imagine kila leo mambo yanavyokuwa magumu, huyu askari atapata wapi hio idadi na unakuta wako zaidi ya watatu. Ndio maana kuna wakati wakikuona wanafaa kukushangilia na kukukimbilia hadi unajiuliza, hawa watu wana nini??

Yaani unakuata wanakanyagana wakigombea kukukamata.... kama vile ule mchezo wa kukamata kuku.
Tatizo sio traffic wala siyo wanaowatuma, tatizo ni wewe na watumiaji wengine wa barabara kuwa vibuli.

Makosa yote yanayolipishwa faini siyo uonevu.

Pili, tambua kuwa pesa inayokusanywa haiingii kwa jeshi la polisi kama unavyoamini. Zinaingizwa hazina.

Kuhusu kuwapangia malengo mi nakubalina maana ni njia ya kuwabana wakiukaji wa sheria hivyo ni nzuri lkn pia ni njia ya kuwaepusha traffic na vitendo vya rushwa. Mi naamini ukiwaruhusu waingie barabarani bila malengo, watafanya kazi kutimiza malengo binafsi. Maana yake pa kupiga faini, wanapeana za kubrash na mambo yanaendelea.

Napendekeza waongeze hadi 10 ili kutunyoosha watumiaji wa barabara. Heshima itarudi lkn pia magari mazima tu ndo yatabaki barabarani hivyo ajali itakiwa historia
 
Kalipa faini ila inaonesha kwenye form kuwa"paid", je ile taratibu ya kulipa kupitia EFD imefutwa? Au je alipewa GRR (government revenue receipt)? Kama hakupewa receipt ukakika gani pesa imefika kunakohusika? Nashauri serikali isimamie utekelezaji wa taratibu na sheria kwa ukamilifu tena nchi nzzima kusiwe na uvujaji wa mapato ya serikali popote. Pia wananchi waelimishwe kuwa wanatakiwa kudai receipt halali kwa kila malipo ya faini.
EFD ipo kwa majaribio dsm pekee.

Ukikatiwa hiyo notification paper/receipt pesa lzm itafika hazina.

Hakuna GRR ila kuna ERV ambayo kuipata ni kwa mhasibu baada ya aliyekukamata kuwasilisha pesa hiyo. Hapa kuna mapungufu, vitabu vya notification ni vingi lkn vya ERV ni vichache. Kuna imbalance.

Wanatakiwa kiyatatua lkn ikiingizwa kwenye electronic payment itatatua malalamiko ya muda mrefu.

Mwisho pesa hizo ni maduhuri ya serikali hazina. Ambacho sijajua, makusanyo ya mwezi sijui kama yanajumuishwa kwenye ripot mwezi ya TRA
 
Mtoa mada poleni!nadhan watu wengi tunaohadithia au tunaotozwa faini tunaumia ilihali tumetenda,Nina uhakika hata ungekuwa wewe dereva,kwa asilimia 90 dereva anaongozwa na Alama za barabarani!name dereva mzuri anayefuata alama za barabarani,anayejali watumiaji wengine wa barabara,sasa unaposema gari haina inapoonesha 50 then IPO 40/60 ikimaanisha dereva hakuwa makini Ku control gar kwa upande wa spidi,name dereva kazi yake ni kulikocontrol tu gari in terms ya spid,break,kona,kubadilisha gari nk sasa utasemaje unandeshwa na competent dereva wakati hakuweza li control mlipaswa msipatwe na jazba ila mumuombe tu traffic police kwa ridhaa yake aidha awasamehe kwa kuwapa onyo ya mdomo au kuwaadhibu as makosa mengi ya barabarani kinachoadhibiwa ni commission na wala haiitajiki kuwa motive ya dereva Kama makosa ya jinai!hela Kama ni ngumu na inauma haswa kwa makosa ya uzembe na kujitakia!!Poleni sababu nafsini mwenu mliamini dereva hakuwa reliable
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom