Happy nation
JF-Expert Member
- Apr 19, 2015
- 679
- 591
Leo nikiwa natoka Arusha kwenda moshi dereva aliyekuwa akiendesha gari letu alipigwa faini kwa kuendesha spidi 56 mahala pa Spidi 50. Nilimuonea huruma kwa sababu hamna gari inayoonyesha spidi hamsini aidha 40 na 60 hivyo inabidi dreva aangalie mshale ukae kati.
Sasa swali, dereva ataangalia mbele au mshale ubalance? Abiria pia tulivyosikia dreva akibishana na trafiki tuliona ni kweli gari lake haina mahala panapoonyesha spidi 50 ila 40 na 60.
Uonevu kama huu ndiyo inafanya watu wachukie Jeshi la Polisi.
Sasa swali, dereva ataangalia mbele au mshale ubalance? Abiria pia tulivyosikia dreva akibishana na trafiki tuliona ni kweli gari lake haina mahala panapoonyesha spidi 50 ila 40 na 60.
Uonevu kama huu ndiyo inafanya watu wachukie Jeshi la Polisi.