runtown
JF-Expert Member
- Feb 16, 2018
- 819
- 1,089
Askari polisi kitengo cha usalama barabarani mkoani Kilimanjaro wilayani Rombo wanaonea madereva wa daladala kwa kuwaandikia faini wakiwakuta wakiwa wanapakia sehemu zenye parking na kibao kinaruhusu kupakia na kushusha.
Mimi ni mhanga wa hili tukio nitashusha screenshot ya faini.
Mimi ni mhanga wa hili tukio nitashusha screenshot ya faini.