Mkaruka
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 19,617
- 34,062
Wewe na baba yako wote mnamwita Mbowe mwamba??Ni mwendelezo wa UKATILI na ukandamizaji wenu kijani kupitia mawakala wenu, uliyoanza kitambo na kuimarika sana wakati wa Babeli Mkuu.
Mmehangaika sana katika ushetani wenu bila mafanikio na hivi sasa zimebaki hadithi/tungo KAMA za watoto.
SIO siri kuwa Mwamba Mbowe BADO ni kikwazo kikubwa kwa juhudi zenu za kuiua CHADEMA. AMEN
🤣