Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 80,863
- 93,645
Wakianza kudondoka kama 2020-2021 mtachoka kuzikaNa Mungu atalipa kwa kadri ya dhamira ya moyo wake.......
Wakianza kudondoka kama 2020-2021 mtachoka kuzikaNa Mungu atalipa kwa kadri ya dhamira ya moyo wake.......
AMEN.Kwahiyo CHADEMA ndio ina Mungu?
Unaongelea Mungu wa Abraham, Isacka na Yakobo au mungu wa Machame?Dhambi hii ni kubwa sana na hakika Mungu atanyoosha mkono wake dhidi ya dhulama hii OVU.
Sijakutukana mkuu nimeuliza swaliHata mimi naweza kukutukana Babati nikitaka, tusifike huko njoo na hoja kujibu hoja
"Mtachoka kuzika" Unamaanisha Nini......??Wakianza kudondoka kama 2020-2021 mtachoka kuzika
Sijui"Mtachoka kuzika" Unamaanisha Nini......??
Hakika Mbowe ameonewa sana, ameteswa sana, amedhulumiwa sana na utawala wa CCM na serikali yake ya awamu hii ya 5
Watanzania hatuko kimya tumefunga kwa kuomba na kusali na kumshtakia Mungu kwa uonevu huu.
Mkakati wa kumwonea Mbowe uliripotiwa toka mwaka 2018 na leo umetimia.
Hakika ipo siku mungu atajibu kilio chetu.
Wanachama na wafuasi wa chadema wamo magerezani kwa kesi za kusingiziwa wanaumia wanateseka
Viongozi wa Chadema walipewa kesi na kulipa faini ya mil.300 kwa makosa ya polisi ya kumpiga risasi Akwilina ukweli uonevu huu umezidi
Tundu lissu alipigwa risasi mchana kweupe mpaka leo hakuna kesi
Tundu Lissu alipokonywa ubunge wake na kunyimwa haki zake na aliyefanya hivyo leo sio spika tena watawala wapo kimya
Leo Mh Mbowe yupo mahabusu kwa kesi iliyosukwa mwaka 2018
Mungu ni mwema atasikia vilio vya watu wake.
View attachment 2126850
Hoja za kishetani zinajibiwa na mashetani! Rudi kuzimu ukaungane na mwenzio wa chattle!!Matusi ni dalili ya kwamba hoja nilizitoa hazijibiki
na nini mkuu?Inahusiana vipi mkuu?
Pamoja mkuuna nini mkuu?
Ndugu,Kuna namna nyingi za kulipa madhambi uliyotenda hapa hapa duniani. Mwacheni Mbowe alipe madhambi yake;
1. Kunyanga'anya uongozi kutoka kwa Bob Makani mwaka 2003 na kupelekea akina Paul Kyara na Mchatta kujutenga nankuanzisha chama cha SAU
2. Kuuawa kimazingira yasiyoeleweka kwa Chacha Wangwe aliyetaka kugombea UWENYEKITI kwenye mwaka 2007 pale PandaMbili karibu na Kibaigwa
3. Kufukuzwa kwa Zitto Kabwe na wenzie mwaka 2010 kwa sababu Zitto aliitaka kugombea uwenyekiti wa CHADEMA
4. Kuiuzia CHADEMA magari mabovu kupitia kampuni yake
5. Kuuza nafasi ya kugombea uRais kwa Lowassa iliyokuwa ya Dr Slaa kwa Tsh 10 Billion ambazo aligawana na mkwewe Mtey na Maalim Seif
6. Kutoitisha uchaguzi wa Mwenyekiti toka 2003 na kujifanya Mwenyekiti wa maisha wa CHADEMA
7. Kugawa viti Maalum vya CHADEMA kwa mahawara zake kina Joyce Mukya, Grace Kiwelu, Chiku Abwao etc
8. Kufisadi fedha ambazo Jafari Sabodo alitoa kwa ajili ya kujengea ofisi
Hayo ni machache tu, nakushauri mtoa mada achana kuunga mkono UJINGA huu, kwa vile Mbowe yuko hapo kufanya ujasiriamali wa siasa. Tafuta pesa usipoteze muda
Unajiona umeshusha points hapa kumbe umemwaga upupu tuu, huu ukunguni unawatesa sana...Kuna namna nyingi za kulipa madhambi uliyotenda hapa hapa duniani. Mwacheni Mbowe alipe madhambi yake;
1. Kunyanga'anya uongozi kutoka kwa Bob Makani mwaka 2003 na kupelekea akina Paul Kyara na Mchatta kujutenga nankuanzisha chama cha SAU
2. Kuuawa kimazingira yasiyoeleweka kwa Chacha Wangwe aliyetaka kugombea UWENYEKITI kwenye mwaka 2007 pale PandaMbili karibu na Kibaigwa
3. Kufukuzwa kwa Zitto Kabwe na wenzie mwaka 2010 kwa sababu Zitto aliitaka kugombea uwenyekiti wa CHADEMA
4. Kuiuzia CHADEMA magari mabovu kupitia kampuni yake
5. Kuuza nafasi ya kugombea uRais kwa Lowassa iliyokuwa ya Dr Slaa kwa Tsh 10 Billion ambazo aligawana na mkwewe Mtey na Maalim Seif
6. Kutoitisha uchaguzi wa Mwenyekiti toka 2003 na kujifanya Mwenyekiti wa maisha wa CHADEMA
7. Kugawa viti Maalum vya CHADEMA kwa mahawara zake kina Joyce Mukya, Grace Kiwelu, Chiku Abwao etc
8. Kufisadi fedha ambazo Jafari Sabodo alitoa kwa ajili ya kujengea ofisi
Hayo ni machache tu, nakushauri mtoa mada achana kuunga mkono UJINGA huu, kwa vile Mbowe yuko hapo kufanya ujasiriamali wa siasa. Tafuta pesa usipoteze muda
Kabisa, ingawaje Baba yangu alifariki Freeman akiwa bado shuleWewe na baba yako wote mnamwita Mbowe mwamba??
🤣