Elvis Legacy
JF-Expert Member
- Aug 10, 2017
- 3,385
- 4,711
Kuna masters gani za masuala ya TEHAMA zinazotolewa hapo UDSM?
UDSM mwisho division I ya point 8Naomba msaada kwa wale wanaofahamu kuhusu kozi ya Law enforcement (BALE) inahitaji mtu mwenye ufaulu gani, nilihitimu mwaka Jana nikapata division 2-11; History E, English language C, Kiswahili B, GS B. Napenda nisome hiyo kozi ila Kuna jamaa aliniambia kwamba wanaisoma wenye division 1. Ufafanuzi tatadhali kwa mwenye ufahamu
ShukraniUDSM mwisho division I ya point 8
Chuo kinachoshika nafasi ya kwanza kwa ubora Tanzania.Ndugu wanajamii Forums nimeamua kuanzisha thread hii Mahususi kwa University of Dar es salaam yaani kiufupi kila kitu kinachohusu university of Dar es salaam.
Nimeamua kuanzisha mimi kama Mwana chuo kikuu cha DSM. Naombeni Ndugu zangu MODS msiifute Hii Thread Ahsanteni sana!
Kwa Kushirikiana na Wanazuoni wengine toka udsm tutaweka na tuta-update baadhi ya taarifa muhimu toka chuo hichi kongwe kwa kadri taarifa itakavyohitajika na jamii
Tunaomba Ushirikiano Wenu!
Nembo ya Chuo!
View attachment 502120
Business School
View attachment 502121
Nyingi San apo una wide choices nyng chek kwenye file apoNina one ya 9 ya HGL. udsm naweza soma course gani
even Two...UDSM mwisho division I ya point 8
Haya sasa tukutane hapa wote ambao tunasoma, tumewahi soma chuo kikuu cha Dar es salaam tufanye ku share uzoefu wetu tukiwa pale na baada ya kutoka pale,
UDSoL-UDSM School of Law
CoET-College of Engeneering and Technology
CONAS+College of Natural and Applied science
SOED-UDSM School of Education
COSS-College of Social Science
COHU-College of Humanities
CoICT-College of Infonmation And Comminication Technology
SJMC-School of Jounalism and Mass Communication
SOH-UDSM School Of Health
UDBS-UDSM Business School
CoAF-College of Agriculture And Fisheries
IDS-Instute of Development Studies
IKS-Institute Of Kiswahili Studies
karibuni......sana
Ingia kwenye website ya udsm wameshatangaza mbona hadi ya postgraduate tayariHabari wadau, naomba kuuliza nataka nione selection ya majina ya kujoin chuo Udsm nimejitahid kutafuta sijayapata, msaada mwenye PDF...shukran
Habari wadau, naomba kuuliza nataka nione selection ya majina ya kujoin chuo Udsm nimejitahid kutafuta sijayapata, msaada mwenye PDF...shukran
Shukraningia kwenye account yako mzee uangalie..hakuna pdf inayotokaga.
AsanteIngia kwenye website ya udsm wameshatangaza mbona hadi ya postgraduate tayari
Awe mvumilivu atatumiwa tuGuys kuna mtu kachaguliwa udsm dirisha la pili matokeo yalivyotoka...ali request confirmation code tangu jana mpaka leo bado hajatumiwa
Same case here for DIT, request code not sent.Guys kuna mtu kachaguliwa udsm dirisha la pili matokeo yalivyotoka...ali request confirmation code tangu jana mpaka leo bado hajatumiwa
GPA kwanzia 3.5 na matokeo ya form IV wanaangalia, uwe na angalau C tatu.Samahani jamani kama una diploma ya business unataka kuwa na GPA ya ngapi ili kujiunga na institute of business kwa bachelor apo UDSM?