University of Dar es Salaam (UDSM) special Thread

Naomba msaada kwa wale wanaofahamu kuhusu kozi ya Law enforcement (BALE) inahitaji mtu mwenye ufaulu gani, nilihitimu mwaka Jana nikapata division 2-11; History E, English language C, Kiswahili B, GS B. Napenda nisome hiyo kozi ila Kuna jamaa aliniambia kwamba wanaisoma wenye division 1. Ufafanuzi tatadhali kwa mwenye ufahamu
UDSM mwisho division I ya point 8
 
Ndugu wanajamii Forums nimeamua kuanzisha thread hii Mahususi kwa University of Dar es salaam yaani kiufupi kila kitu kinachohusu university of Dar es salaam.
Nimeamua kuanzisha mimi kama Mwana chuo kikuu cha DSM. Naombeni Ndugu zangu MODS msiifute Hii Thread Ahsanteni sana!

Kwa Kushirikiana na Wanazuoni wengine toka udsm tutaweka na tuta-update baadhi ya taarifa muhimu toka chuo hichi kongwe kwa kadri taarifa itakavyohitajika na jamii

Tunaomba Ushirikiano Wenu!


Nembo ya Chuo!

View attachment 502120
Business School
View attachment 502121
Chuo kinachoshika nafasi ya kwanza kwa ubora Tanzania.
 
Haya sasa tukutane hapa wote ambao tunasoma, tumewahi soma chuo kikuu cha Dar es salaam tufanye ku share uzoefu wetu tukiwa pale na baada ya kutoka pale,
UDSoL-UDSM School of Law

CoET-College of Engeneering and Technology

CONAS+College of Natural and Applied science

SOED-UDSM School of Education

COSS-College of Social Science

COHU-College of Humanities

CoICT-College of Infonmation And Comminication Technology

SJMC-School of Jounalism and Mass Communication

SOH-UDSM School Of Health

UDBS-UDSM Business School

CoAF-College of Agriculture And Fisheries

IDS-Instute of Development Studies

IKS-Institute Of Kiswahili Studies


karibuni......sana

WANANGU WA "TATAKI" KIDOLE CHA MWISHO JUU!!!!!
 
Habari wadau, naomba kuuliza nataka nione selection ya majina ya kujoin chuo Udsm nimejitahid kutafuta sijayapata, msaada mwenye PDF...shukran
 
Habari wadau, naomba kuuliza nataka nione selection ya majina ya kujoin chuo Udsm nimejitahid kutafuta sijayapata, msaada mwenye PDF...shukran
Ingia kwenye website ya udsm wameshatangaza mbona hadi ya postgraduate tayari
 
Guys kuna mtu kachaguliwa udsm dirisha la pili matokeo yalivyotoka...ali request confirmation code tangu jana mpaka leo bado hajatumiwa
 
Back
Top Bottom